kitamu kula na nduguyo

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,315
2,634
*WASWAHILI HUSEMA* kizuri kula na nduguyo, kuna hii project inaitwa wazzub
wengine mtakua mmeshaisikia, hawa jamaa wanatengeneza content mgt system
ambalo itasheheni vitu na ma site mengi (mfano google,fb,twitter,ebay, ma
online shoping etc etc) sasa ikifika tarehe hiyo april watapoenda hewani
members wote wataifanya wazzub kuwa home page yao, wakishafanya hivo manake
itakua kila unachotaka kufanya online utakua unapitia wazzub hilo litafanya
wale wazzub company kuwa wanalipwa hela (per click) kama ambavyo watu
walioweka google ads wanavolipwa, so ile kampuni kupitia members wake
itapata hela nyingi kutokana na zile 'clicks' then wao wanagawana ile
profit na members wake, so unachotakiwa kufanya ni kujiregister kupitia hii
link ambayo ni ya kwangu WAZZUB - The Power of "We"!

) , then na wewe utatumiwa link yako ambayo na wewe utashare hiyo link na
washkaji zako, hii isue ni hot na nilibishana nae sana huyu dogo alienipa
hii isue(yupo SA), lakini nilipoamua kutafta ukweli nikagundua sina la
kupoteza hata kama watazingua baadae, so ni opportunity ambayo tunatakiwa
kuitumia fresh.

*jinsi ya kugawana faida: *

wakishapata ile faida wataculculate ratio kutokana na total number ya
members, then ile factor itazidishwa kwa idadi ya members wote waliochini
yako, then ile hela unapewa wewe.

*utapewaje hiyo hela:*

wakishaenda live, kitachofwata ni wewe kucreate paypall account ambayo wao
watakuja kudeposit hiyo hela yako pia kupitia cheque. yani ni kama wale
wenye web zenye google ads wanavolipwa.

*je inarisk gani: *

ni risk free, coz hakuna sehemu ambapo wanataka bank details zako wala
nini...wenyewe wataweka kwenye paypall account yako ambayo utaicreate
online with zero balance. wenye paypall nadhani mnaelewa.
faida nyingine uliyonayo ni kutengeneza mtandao ambao utakua unauwezo wa
kufanya nao bishara yoyote ile, baadae hii system itakua na fetures kibao
za mails kwa members waliochini yako etc etc...so nothing to loose.


HII ISUE NI HOT SANA HUKO NJE...NA WATU WANAIFWATILIA KWELIKWELI....SO DO
YOUR BEST, INAKUGARIMU DAKIKA 1 KUTENGENEZA ACCOUNT NA BAADA YA HAPO TAFTA
WATU NA WEWE UWAELIMISHE WAINGIE. BIASHARA ZA ULIMWENGU HUU WA SASA NI
NETWORK BASED, YANI MIMI NAKUJUA WEWE WEWE UNAMJUA MWINGINE NDO HIVO.

*HAYA NI MASWALI YANAYOULIZWA SANA NA WADAU SOMA HAPA KWA MAELEZO ZIADI.*


Q. What is WAZZUB?

WAZZUB is the world’s one and only Profit Sharing Phenomenon.
It is the first online community that shares its profits with its free
pre-launch members
simply for choosing WAZZUB as their home page after launch.
WAZZUB is always free for everyone.


Q. What is the Power of “We”?

It’s a fact: companies like Google or Facebook earn BILLIONS OF $$$ every
quarter
just because we, the Internet users use their services.
It is time to understand, that we “the users” decide who is earning the big
money.
If we together decide to use the services of a company that shares profits
with us,
there is nothing that the other companies could do about it.

It’s so easy: the more users that join the WAZZUB Family for free,
the more money we “the users” will earn!

That is what we call the Power of “We”!


Q. Who owns and operates WAZZUB?

WAZZUB is an international project that has been created by a handful of
entrepreneurs and investors.
In September 2011 they founded GIT Global Investments, Inc. (GIT)
for the purpose of running WAZZUB and related businesses.
GIT is registered under the laws of Oregon. The Registration # is 802159-90.

A team of more than 20 specialists is working hard to turn WAZZUB into a
huge success;
most of them are behind the scenes and some of them are visible for all
members -
for example, our Master Distributor and our Support Staff.


Q. Where is WAZZUB’s office?

GIT’s registered office is at 391 NW 179th Ave, Beaverton, OR 97006
and our WAZZUB headquarters is located at 7251 Lake Mead Blvd, Las Vegas,
NV 89128.


Q. WAZZUB sounds too good to be true. Is WAZZUB a scam or is it a real
business?

For sure WAZZUB is doing real business but it is no traditional business.
The Internet is changing the world and there is enough space for innovative
business models
that have never been done before. WAZZUB is one of those business models.

For the first time ever a global online community is sharing its profits
with its pre-launch members. That is why we named it the first Profit
Sharing Phenomenon.

Actually, WAZZUB is too good to pass up.


Q. How does WAZZUB make money?

WAZZUB makes money in many different ways.
On April 9 we will launch a state-of-the-art website with patent-pending
technology.
On this page we’ll display ads and special deals.

In fact, we do exactly the same as companies like Facebook, Google, AOL and
Yahoo.
They offer free services and earn billions of $$$ just by displaying ads
and special offers.
The only difference is that we share our profits with our pre-launch
members.


Q. How and when do the members get paid?

WAZZUB pays its members on a monthly basis.
Our first pay day will be May 15, 2012 for the month of April.
Small amounts will be paid by an online payment processor
and large amounts will be paid by check or bank wire.

However, WAZZUB is working on a simple global payment solution to best
serve our world-wide community.


Q. Is it true that the members get paid US$1 per person in their 5
generations family?

There is no fixed amount that will be paid to all members.
During pre-launch, every member is building his personal $FACTOR
by inviting other members to join WAZZUB for free.
Each new member, 5 generations deep let your personal $FACTOR grow by 1.

After launch, the members’ $FACTORs are fixed and by adding them up
we receive the total amount of $FACTORs (= the global $FACTOR).
Each month we calculate WAZZUB’s profit and divide it by the global $FACTOR
to determine the actual multiplicator.

Example: Let’s say that the profit to be shared for the month of April is
$4 million
and the global $FACTOR is 5 million.
Each member would earn $0.80 per personal $FACTOR
($0.80 x your personal $FACTOR = your income for that particular month)

If there would be $5 million to share, the multiplicator would be $1.00 and
at $6 million it would be $1.20.

The more free members that set up WAZZUB as their home page after launch,
the more money the pre-launch members will earn.



LET’S ACTIVATE THE POWER OF “WE”!
Please do it for Your Brothers WAZZUB - The Power of "We"!













You know a company like Google or Yahoo!. And you must know also how much they earn. Do not know? Here is the answer: They are getting billions of dollars each year (Google gets $ 29 billion ONLY in 2010) thanks to YOU who use their services. Google offers many services. But 95% of its revenues ($ 27.55 billion) came from only ONE service only: search engine owned by their famous, Google Search. Every user who uses the Google Search makes Google gets about $ 1 / day. Imagine if you could get only 0001% of the revenue Google Search: $ 275.000/Tahun (around $ 23.000/bulan). The problem is: You will not get it because Google keeps ALL his income for himself.

II - Wazzub, "User Revolution"
In 2007, a person thinks: "We, the users make them get billions and we did not get a cent-one. It was very disgusting". Thus was born WAZZUB. Wazzub is a search engine, like Google, which will give you money for referring people to join our members. You will get $ 1/bulan, LIFETIME, for each user who joins Wazzub using your referral link. And you also get $ 1/bulan, LIFETIME, every time someone joins your group (for example: you will get $ 1 if a friend you invite someone to join, but you also will get $ 1 if a friend of your friend to invite someone to join as well, etc. ..).
You can try out their calculators to see how it can be easy to get $ 4000/bulan without any effort. You just need to invite 5 people to do the same thing in 5 levels. This can be done quickly & easily just by telling your friends and by posting on the forums on the Internet as I do now. $ 4,000 / month, LIFETIME, just to tell your friends to join a website. Sounds incredible, is not it? And that reality.

III-Wazzub Why pay so much for its users?
You may be wondering why Wazzub pay you to invite people to join. Actually, the answer is quite simple: the more visitors they get, the more they get paid. Remember, Google gets $ 1 per user PER DAY. Wazzub will pay you $ 1 per user PER MONTH. So it is still advantageous to Wazzub.

IV - Take your decision
You have to make decisions very quickly: join now, start telling your friends and get $ 50, $ 1,000, $ 4,000 or even more per month for your entire life. Or wait and see if it really WAZZUB legit ... But be careful: Wazzub will not share the proceeds to members who join after April, 9, 2012.

Actually, they assume that after 3 months they will have enough members and they do not have to pay to get more members in more and more.
So join NOW, for FREE, and invite people yanglebih much before April, 9 2012. After that, it would be too late. You have 3 months to change your life. You can get about $ 1.00 per person in the "WIDE NETWORK OF INFINITE" x 5 generations in the family WAZZUB you. (Depending on the growth of the company)

If it still looks a little for you, try to notice what is happening in the following illustration ...

You simply invite 5 friends to join FREE forever and they do the same to a depth of 5 generations:

1. Generation 5 x $ 1.00 = $ 5.00
2. Generation of 25 x $ 1.00 = $ 25.00
3. Generation of 125 x $ 1.00 = $ 125.00
4. Generation of 625 x $ 1.00 = $ 625.00
5. Generation of 3125 x $ 1.00 = $ 3,125.00

Your Passive Income = $ 3,905.00 per month by not doing anything different than what you normally do every day. In other words, there is no any work that you have to do with this program. WAZZUB - The Power of "We"!
 
thanks lakini inafanana na tiens au gnld hii kitu...
Usanii tu huo

Ni UPATU kwa style ya mtadandao . Haina tofauti sana na DECI au UPATU tfauti hawa hwachukui fedh laini kama watakapoata ni wchache sana ili kuwana wengine.

Slave soma pyramid scheme. . Ujue zinavyofanya kazi . But sio mbaya hawakabi wala kuchuku mshio ila wanakutumia wewe na muda wao. Watawadaka wengi na . Na watakaopata mshiko ni bahati sana....
 
Slave soma comment za wadau hapa kwenye hii forum. Lakini kwa kuw ahawachukui mshiko Mtakao Jiunga mtatupa feedback ili nasi tuje.

Lakini ina kina dalili za scammer.Kutochukuwa pesa sio Kigezo. Hawajulikani wako nchi gani. Wamesajili hiyo kampuni yao ya kugawa utajiri wapi? Wapo Russia , Nigeria USA china UK ? Sheria za nchi gani zitawabana wakimisuse taarifa za watu?
 
THIS IS A SCAM TRUST ME ON THIS ONE...
ohoo itafika April alafu unashangaa wansema ilikuwa ni APRIL FOOL'S DAY PRANK hahaha :lol:
 
Usanii tu huo

Ni UPATU kwa style ya mtadandao . Haina tofauti sana na DECI au UPATU tfauti hawa hwachukui fedh laini kama watakapoata ni wchache sana ili kuwana wengine.

Slave soma pyramid scheme. . Ujue zinavyofanya kazi . But sio mbaya hawakabi wala kuchuku mshio ila wanakutumia wewe na muda wao. Watawadaka wengi na . Na watakaopata mshiko ni bahati sana....
mkuu nilikwisha soma sana style za pyramid scheme ila kama watakuwa wamekuja na fhasheni hii basi watatumaliza
 
THIS IS A SCAM TRUST ME ON THIS ONE...
ohoo itafika April alafu unashangaa wansema ilikuwa ni APRIL FOOL'S DAY PRANK hahaha :lol:
hahahahahaaaaaaaa nimeanza kuchek hata kabla ya april na nitacheka saaaana kama WATASEMA HUJUI KWAMBA LEO NI FOOL'S DAY?
 
thanks lakini inafanana na tiens au gnld hii kitu...
YOTE YANAWEZEKANA ndiyo maana nimeweka maelezo yao hapa ili ili wajuzi wa mambo haya wadadavue kisha watuanikie ukweli.
sipendi kuweka mashaka kwa kila kitu some time napaswa kubaini ukweli wa mambo husika
 
Mimi najiunga na hiyo WAZZUB liwalo na liwe. Aliyekula hela za wanachama waDECI ni serikali ya Kikwete sio DECI. Hivi serikali ikiamua leo kukamata viongozi wa benki ya NBC na kuwaweka ndani na kupiga marufuku shughuli zote za NBC mnafikiri nini kitatokea kwa amana za wateja?
 
Slave soma comment za wadau hapa kwenye hii forum. Lakini kwa kuw ahawachukui mshiko Mtakao Jiunga mtatupa feedback ili nasi tuje.

Lakini ina kina dalili za scammer.Kutochukuwa pesa sio Kigezo. Hawajulikani wako nchi gani. Wamesajili hiyo kampuni yao ya kugawa utajiri wapi? Wapo Russia , Nigeria USA china UK ? Sheria za nchi gani zitawabana wakimisuse taarifa za watu?
mkuu nimesoma hiyo linki uloniwekea nimekutana na mengi ila hili nimelipenda
WAZZUB is another search engine company just like google, yahoo, facebook. These companies are profiting billions dollars every year because of us the users but do we get a share of those profit, NOPE!.....
This is why WAZZUB was created, to share 50% of the profit to the users and to give the users the opportunity to earn a profit every month for life but only to those users who've signed up before april 1st 2012 (locked in their position) and it is 100% free to sign up.

Where do the money come from?
......... Money come from millions of advertisers that pay company like facebook, google to have their business shown to the audience (the users).
Remember there's billions of users using google, facebook and the advertisers will go where the users are.
Just amazing WAZZUB getting as much users as google and facebook, WAZZUB will profit billions and will share 50% of the profit to those users that signed up before april 1st 2012.

IT IS FREE TO SIGN UP....

If WAZZUB turns out to be another scam, at least I've got nothing to lose!!..........


 
Slave soma comment za wadau hapa kwenye hii forum. Lakini kwa kuw ahawachukui mshiko Mtakao Jiunga mtatupa feedback ili nasi tuje.

Lakini ina kina dalili za scammer.Kutochukuwa pesa sio Kigezo. Hawajulikani wako nchi gani. Wamesajili hiyo kampuni yao ya kugawa utajiri wapi? Wapo Russia , Nigeria USA china UK ? Sheria za nchi gani zitawabana wakimisuse taarifa za watu?
mkuu nimesoma hiyo linki uloniwekea nimekutana na mengi ila hili nimelipenda
WAZZUB is another search engine company just like google, yahoo, facebook. These companies are profiting billions dollars every year because of us the users but do we get a share of those profit, NOPE!.....
This is why WAZZUB was created, to share 50% of the profit to the users and to give the users the opportunity to earn a profit every month for life but only to those users who've signed up before april 1st 2012 (locked in their position) and it is 100% free to sign up.

Where do the money come from?
......... Money come from millions of advertisers that pay company like facebook, google to have their business shown to the audience (the users).
Remember there's billions of users using google, facebook and the advertisers will go where the users are.
Just amazing WAZZUB getting as much users as google and facebook, WAZZUB will profit billions and will share 50% of the profit to those users that signed up before april 1st 2012.

IT IS FREE TO SIGN UP....

If WAZZUB turns out to be another scam, at least I've got nothing to lose!!..........

 
sioni kama kuna tatizo maana kama watakuwa na nia mbaya basi watakuwa wametupotezea muda tu na si kingine. pia katika maisha siku zote hatutakiwi kutokujiamini..uzuri wa hii habari ni kwamba kila mtu atakuwa anachukulia tahadhari.
 
sioni kama kuna tatizo maana kama watakuwa na nia mbaya basi watakuwa wametupotezea muda tu na si kingine. pia katika maisha siku zote hatutakiwi kutokujiamini..uzuri wa hii habari ni kwamba kila mtu atakuwa anachukulia tahadhari.

Huwezi kuona tatizo mpaka likutokee kuna kampuni zinafanya kazi kitapeli na biashara ya kuuza tu private info za watu. Ndiyo maana hapa kitu cha msingi kujiuliza hawa wapo Physcal adress yao iko wapi ? Ni ya ukweli ? au wameandikisha wapi kampuni yao.

Huwezi kufananisha na yahooo au google ambao ofisi zao zinajulikana ziko wapi na seria gani za nchi zinawabana wakifanya ndivo sivyo . Yahoo hata wakati wanaanza walikuwa na Physical adress. Hawa wzzub kuna jamaa kaandika hivi

I'm going to start by showing an example of a current scam being perpetrated.

The scam Wazzub.com is not aimed at the everyday members but at the advertisers and businesses looking to gain mass exposure.

Lets start by doing a simple whois search for the domain wazzub.com it returns the following information.

Registrant:
GIT Global Investments Inc.

391 NW 179 Ave
Beaverton, Oregon 97006
United States


Registered through: GoDaddy.com, LLC (http://www.godaddy.com)
Domain Name: WAZZUB.COM
Created on: 11-Jun-11
Expires on: 11-Jun-12

Last Updated on: 11-Jun-11

Administrative Contact:
Department, Hosting service@wazzub.com
GIT Global Investments Inc.
391 NW 179 Ave
Beaverton, Oregon 97006
United States
+1.5418338222
( Watu wa USA wanaweza kutusaidia kuthibitishia kujua owne wa hii number ni nani)

(We should note that the domain expires around the same time as this site supposedly launches) (Je wako serious kwei........

Next we do a search for any reports against this company

we do this by typing the name of the company +scam into the search box "GIT Global Investments Inc.+scam"

and we find there are indeed reports against this company spanning several years

Global Investments, LLC

lastly we look up the company registration data by again typing the company name followed by "Business registration" and there find it is reported as registered in

"GIT Global Investments Inc.business registration oregon"

and this returns further confirmation that this is indeed a scam as the registration data does not match the company profile being promoted


GIT GLOBAL INVESTMENTS INC
391 Nw 179Th Ave
Beaverton, OR 97006
Contact: CATHY L HALVERSON
Phone: Not Available


Directory Heading
PERSONAL SERVICES AND LAUNDRIES
Incorporated: 10/2011; Personal Services and Laundries, Personal services including babysitting, shopping, personal assistants, and laundry services.
Tags
babysitting, laundry, personal, sercurity services, cleaners, lock, locksmith, safes, alarm, security, investigations, safety, fire alarm, fire alarms, fire systems, investigations

You will note that the address for both the whois and the business registration is identical thereby confirming we have the same company.

So exactly what does Babysitting and home laundry have to do with running something being promtoed as bigger than google with billions spent on development ??

The answer Nothing at all it just proves the lies being spread, the bottom line is a little due dilligence can save you a ton of heartbreak and may save other people from being ruined by these criminal types

Hii thread mliojiunga mtatupa mrejesho

NB
Ogopa site zenye promo na picha kama hizi kama hii WAZZUB - The Power of "We"! . Hi ni moja ya kiashairia kuwa ni ste ya wasanii. Nyingine unakuta mke na mme wamepiga picha kwenye bonge la jumba na au Bonge la gari wanaweka na story jinsi walifonaikiwa kutajirika kwa muda mfupi. Kama kawiada Picha za $$$$$$$$ nje nje hazikosekani
 
Huwezi kuona tatizo mpaka likutokee kuna kampuni zinafanya kazi kitapeli na biashara ya kuuza tu private info za watu. Ndiyo maana hapa kitu cha msingi kujiuliza hawa wapo Physcal adress yao iko wapi ? Ni ya ukweli ? au wameandikisha wapi kampuni yao.

Huwezi kufananisha na yahooo au google ambao ofisi zao zinajulikana ziko wapi na seria gani za nchi zinawabana wakifanya ndivo sivyo . Yahoo hata wakati wanaanza walikuwa na Physical adress. Hawa wzzub kuna jamaa kaandika hivi



Hii thread mliojiunga mtatupa mrejesho

NB
Ogopa site zenye promo na picha kama hizi kama hii WAZZUB - The Power of "We"! . Hi ni moja ya kiashairia kuwa ni ste ya wasanii. Nyingine unakuta mke na mme wamepiga picha kwenye bonge la jumba na au Bonge la gari wanaweka na story jinsi walifonaikiwa kutajirika kwa muda mfupi. Kama kawiada Picha za $$$$$$$$ nje nje hazikosekani

zing lete hizo link tusoe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom