Kama ambavyo kichwa cha thread kimeeleza nimeokota kitambulisho cha utaifa cha NOEL ADAM MZENGI kama yupo humu au kuna yeyote anamfahamu mtajwa apo juu unaweza kuja pm
Kama ambavyo kichwa cha thread kimeeleza nimeokota kitambulisho cha utaifa cha NOEL ADAM MZENGI kama yupo humu au kuna yeyote anamfahamu mtajwa apo juu unaweza kuja pm
Mkuu asante kwa busara zako. Ni watanzania wachache wenye akili kama zako .i.e. kutoanika copy ya kitambulisho hapa. Umetumia bisara sana kuandika jina lake tu na nina imani atakipata!