Kitambue chombo VOYAGER 1

Wanazi huwa hamkosekani ha ha ha hah ha ha
sio kila mtu anaweza kutegua vitendawili tulojengewa tangu hatuna fahamu mpaka tushakuwa watu wazima,ni vigumu sana kuweza kufahamu hata kama kitu kipo mbele ya macho huwezi kukiona,kwanza lazima upate elimu yao ya uzushi kisha uweze kuja na maswali yako mwenyewe na ujielewe kisha ufanye utafiti kidogo,lakini kufunga akili ni njia mbaya kuelekea kujielewa kwako
kama una maswali ungeuliza tu
 

pale unapomwambia ustadhi peleka mtoto shule badala ya madrasaa
 
pale unapomwambia ustadhi peleka mtoto shule badala ya madrasaa
nimefikia viwango vizuri vya shule na madrassa pia ila fanya utafiti kidogo utajinea mwenyewe

kama unakwenda shule uliza maswali haya
proof of gravity
proof of earth spinning(usiku na mchana sio proof) ulizia kama kuna aina ya kipimo kilowahi kuthibitisha spin
proof sun is 93mil miles
ni wapi imewahi kutokea maji yakawa na mpindo(yaani ukitia maji kama kwenye glass yakawa na uvimbe wa juu kuonesha mpindo

maswali yapo mengi ulizia hayo tu kwanza
 
Mkuu mimi swali lipo pale kwenye kujua kama dunia iko curved..

Mimi naamini kwa macho ya kawaida huwezi kunotice hiki kitu...

Ni obstacles ngapi zinakuwa mbele yako? How will you notice that curve?

Jaribu kuangalia ratio ya umbali ambao macho yako yanaona na ukubwa wa dunia...

Ni ngumu sana kuona hiyo curve ila ipo...
 
Du, hatari! Wakati wengine wanafikiria 'kuvitaarifu viumbe wengine' kuwa kuna binadamu sisi tunaamini kwa dhati kabisa kuwa akina Lijuakali, Mathew. Lema nk ndio tatizo na lazima washike adabu!
 

ni kweli upeo wa macho yetu kwa wingi tunaweza kuona radius ya 5 mile kwa hio si rahisi ku-notice curve na ile kusema unaona boti na mlingoti inapotea machoni ile sio curvature ni uwezo wa kuona kwako unamalizika tu na sio kama boti inazamia kwenye mpindo wa dunia,
lakini kupima curvature kuna formula yake ya ambayo ni Pythagorean theory hii inasema hivi kuwa kila 1x8in.sq mile
kwa mfano:
2 mile distance
2x2x8= 32
32/12=2.66ft
huu ni mfano wa 2 mile ambao kwa fumula yao kila 2 mile kunakuwa na 2.66ft ya curvature na hio inazidi kila masafa yakizidi 4miles inakuwa na 5.32ft and so on
saivi kuna binoculars au telescope za kuona masafa ya mbali sana watu wanaona mpaka 200 miles away kama bahari ipo shwari na maeneo yaliyo juu kidogo,jambo ambalo kama dunia ni duara huwezi kuona kutokana na mpindo wa dunia
 
HE! .................1970
 
The radio communication
system of Voyager 1 was
designed to be used up to
and beyond the limits of the
Solar System during the
extremely long flight of this space probe. The
communication system
includes a 3.7 meter
diameter parabolic dish high-
gain antenna to send and
receive radio waves via the three Deep Space Network
stations on the Earth. These
modulated waves are placed
in the S-band (about 13 cm in
wavelength) and X-band
(about 3.6 cm in wavelength) which provided a bit rate as
high as 115.2 kilobits per
second when Voyager 1 was
at the distance of Jupiter
from the Earth, and many
fewer kilobits per second at larger distances.
Kilometre 18b + hiki chombo kinatumaje taarifa duniani ? yaani ina nguvu ya kiasi gani ya kutuma mawasiliano hadi duniani ?
 
mkuu hebu niletee hapa picha ya dunia flat ambayo si yakutengeneza
kama ni propaganda ni kivipi urusi,china,marekani,india na nchi nyengine watudanganye kuhusu haya..? yani manchi yote hayo yasomeshe wanafunzi wao uongo mtupu! kwa malengo yapi..?
mbona nikiangalia video za wale wanaoruka na maparachuti wakiwa angani kwa kiwango flani naona uduara..? na si nimeangalia video moja no ni zaidi ya moja.
 

mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
 
ZENJIBARIA
kuna mdau
humu
nilishawahi
kuchati nae
na nilikuwa
sifahamu kama yupo
nchi za nje
ktk
mazungumzo
yetu
niligundua we are different
in time
(alinambia
kule ilikuwa
imefika usiku
so alikuwa anataka
kulala) yani
huku ilikuwa
mchana kule
usiku
unalizungumz iaje hili..?
na kuhusu
hiyo allien
belt
unazungumzi
a viumbe allien ama..? na kwanini watudanganye wanafanya hivyo kwa manufaa yapi..?
 

Mkuu unachakula au umekuja kubwabwaja hapa,wakati uko kwenu mna njaa.
 

Nilidhani umefanya research na hapa utaweka data zako za uhakika,kumbe ni porojo tu.
 
Ivi ndege ikishapaa inakua bado ipo dunian au angani
 
Duh! We have a long way to go!
 
kwanini wanadamu baadhi wameamua kupindisha ukweli wa ulichokisema?.
 
Kwanini sehemu nyingine inakuwa usiku na nyingine mchana kwa wakati huohuo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…