Kitambue chombo VOYAGER 1

ha ha! ndio maana majamaa yametutangulia sana tu wkt sisi tunahangaika na njaa,vita,ukeketaji,umaskini n.k wenyewe wanawaza mbali mno they will continue to be number one!

Kuna mambo huwa yanafanywa humu Africa, na watu tena wengine wasomi kwa elimu hii waliotuletea wazungu, unakaa unafikiria na kudhani kuwa sisi pengine hatukustahili kuwepo. Maana ukifikiria jinsi wenzetu wanavyohangaikia ugunduzi, na wkt huohuo sisi tunahangaikia mambo kadhaa yasiyo na tija kabisa, unaumia sana. Najaribu ku imagine kama tungeweza kufanya walau robo tu ya wanachofanya, sijui tungekuwa wap
 
Kifaa hiki kinatumia madini ya uranium kujizalishia umeme ili kiweze kujiendesha na itakapofika mwaka 2020 madini hayo yanatarajiwa kuisha hivyo kitastop na itakuwa ndo mwisho wake wa kufanya kazi!
Madini ya uranium yanazalisha vp umeme kwenye hiko chombo?
 
HAIL TO FLAT EARTH SOCIETY
 
Una
Unajua mkuu ukijaribu kiwaeleza wa2 kuwa dunia ni flat na consept nyengine za flat earth sorciety hawatakuelewa tena na elimu yetu hii ya bongo utapingwa 2 binafsi mm nkubaliana na ww 100% na ni mfuatiliaji mkubwa wa flat earth
 
Huu ulishawahi kuwa uzi ila sidhani kama kuna waliousoma na hata kama wamwusoma
GOOD FACT INDEED NIMEGAIN KI2 KINGINE
 
Inavyoonekana hautaki kuelewa ila kubisha
 
We jamaa unaakili sana mm nimekuelewa vilivyo. Ata mm huwa nafikili hivyo hivyo, unakuta mtu anakudanganya kweupe kabisa ety mtu alifika mwezini uongo mtupu.
 
Madini ya uranium yanazalisha vp umeme kwenye hiko chombo?
mkuu uranium inatoa heat/joto and then wanachange hilo joto ktk mfumo wa umeme ni kama solar.. ila kwenye hicho chombo voyager 1 sijui kuna process ipi lkn nafikiri ni kama hii
 
Unaijua international space station?
 
mkuu uranium inatoa heat/joto and then wanachange hilo joto ktk mfumo wa umeme ni kama solar.. ila kwenye hicho chombo voyager 1 sijui kuna process ipi lkn nafikiri ni kama hii
Hii ni ngumu kumeza unafanya kama solar?
 
Hii ni ngumu kumeza unafanya kama solar?
nasema inaprocess kama solar i mean solar ina change heat kuform umeme so wanatumia uranium kuproduce heat and then ina be changed kuwa umeme..
uranium kipande kidogo tu kinauwezo mkubwa wa kuzalisha/kuwaka bila kuisha kwa muda mrefu kama sikosei one ton of uranium inazalisha 40 million watt ya umeme
 
japo mada ilihusu VOYAGER 1, imenilazimu nami nifuate upepo unakoelekea, duara ama tambalale!! sio mtaalam sana kwenye hizi anga ila nataka kuuliza, je? mtu anaweza kuizunguka dunia kutoka Magharibi ama Mashariki na kujikuta yupo pale alipoanzia safari? iwe kwa njia ya anga. kama sivyo, iliwezekana vipi Japan kushambulia Pearl harbor kwa kuvuka bahari ya Pacific? maana wengi hudai njia zote za anga unarudi Mashariki tu. umbali kutoka Japan hadi Hawaii (USA) tunaambiwa ni 6,625km, kwa ndege inayokimbia mile 560 kwa saa hutumia muda wa saa 7:35.
kama siyo duara inawezekana vipi mtu wa Urusi kuingia Alaska (USA) kwa kuvuka bearing strait amnayo ni 85km, ama kama wako eneo la visiwa vya big & small domede umbali kutoka Alaska kwenda Rusia ni 2km. ukisoma historia, tunaambiwa kipindi cha vita baridi, baadhi ya mashirika ya ndege yalikua yanavuka bahari ya Pacific na kuibukia Alaska, hii ilikuwa ni kwa ajiri ya kukwepa anga ya USSR.
Pia kuna rubani wa kisovieti (Valery Chkalov) ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza kuvuka maji ya Pacific kutoka Moscow. alitua Vancouver kisha Washington D.C. kwa mujibu wa maelezo ilikuwa June 18~20, 1937 na alitumia saa 63.
siyo huyo tu wapo watu kadha wa kadha wanaodaiwa kuvuka bahari ya pacific akiwemo Barney M. Giles, Curtis LeMay & Emmett O'Donnell, Jr. (September 1945)
kama ndivyo basi dunia ni duara, ila bado kuna fumbo kubwa lijulikanalo na wachache.
 
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia panapotokea heat kunazalishwa magnetic field?
 
nafikiri hapa ndipo tumechengana polonium ni zalisho la uranium ambapo hiyo plutonium ndio hutumika kwenye hizo probe hicho kifaa ndo kinachange hiyo heat inayozalisha na plutonium kuwa umeme
 
nafikiri hapa ndipo tumechengana polonium ni zalisho la uranium ambapo hiyo plutonium ndio hutumika kwenye hizo probe hicho kifaa ndo kinachange hiyo heat inayozalisha na plutonium kuwa umeme
Ok nilitaraji uniambie namna hii na futa idea kwamba hiko chombo kinafanya kazi kama solar mechanism inayotumika hapo ni seebeck effects.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ