Kitambi noma

Kitambi noma

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>
BlB3McYCMAAHmrA.jpg:large
 
Huyu sehemu zake zakutolea "mbolea" zitakua hazipo hivyo ananyea humo humo.
 
Mmmmh halafu kama mlinzi vile?au macho yangu
 
englibertm,&#8203; Kitambi noma ni jina la klabu yetu ya mazoezi kule Zenji!
 
Kweli ni mmoja wa viongozi wa CCM na kama siyo Didas Ma------ ni yule mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida, anaitwaaaaaa...Mgana Msindai.Yeba!!
 
aaah nimekumbuka! huyu ni Kibaso yule aliyewahi kuwa mbunge wa ma-CCM Temeke. ni ndugu yake Ma------, eee, ni yeye. Du! amejaliwa.
 
Kitambi kibaya sana,hapo njaa inamuuma kwa kwenda mbele;Jamani mwenye dawa ya kuondoa kitambi please anipm naona kinaninyemelea na kwa kweli sikipendi;nafikiria jinsi ya kuacha kunywa pombe na nyama choma cause a'm adicted
 
Back
Top Bottom