steve_MOMO
Member
- Jun 21, 2019
- 44
- 11
- Thread starter
- #21
Inawezekana ngoja watafiti waje na data zao watusaidie

itabid mana nipapuche kwakelInawezekana ngoja watafiti waje na data zao watusaidie

itabid mana nipapuche kwakelIla hlonalo nenoKitambi mwezie private car..sio kutubana bana kwenye usafiri wa public
Mo Dewji na mahela yake lakini hana kitambi
Kwani nimesema umemtaja jina lake?Nimesema jina lake?
Mafuta yanayozunguka kiuno ni hatari sana katika kusafirisha damu, huweza kuganda na kusababidha uharibifu wa tissue za moyo atria filbration au strokeKitambi UGONJWA! Hakuna uhusiano wowote wa kitambi na pesa ni dhana POTOFU TU.
Kwani nimesema umemtaja jina lake?
Mafuta yanayozunguka kiuno ni hatari sana katika kusafirisha damu, huweza kuganda na kusababidha uharibifu wa tissue za moyo atria filbration au stroke


Sasa kutoa mfano wa mtu bila kumtaja jina si kumsema hakuna yoyote humu anayemjua hata jiji husika sikulitaja inaweza huwa Hong Kong, Manila au Nairobi.
Ila now days stress sikwawanaume tu wadada pia ni pasua kichwa tumbo lina kuwa kwakasi kulko makalio kwalunga ya kisukuma choo kina tetema
Sana stress juu ya stress pasua tufe halibebeki mana mavyakula yamafuta wana yapenda sana na mazoez wa vivuHili la vitambi kwa warembo nalo limekuwa tatizo kubwa sana.
Waziri wa interior affairsKitambi mwenzie ujinga kama unabisha nitajie mtu mmoja mwenye pesa na kitambi ambae sio mjinga
No worries Luv..Thank youMy apologies if in one way or another
I wrote something something that you did not like. By the way thank you so much for what
you did at home. I really appreciate all your efforts ❤🌹🤚🏾See you there.
Waziri wa mambo ya inside.


mamaaaaaa kutekwa com soon Mzee umetajujaaaaaPesa wapiii? Wakati viporo

kuna nduguyako anacho nn naana shindia pingl pnglMzeee ??????mamaaaaaa kutekwa com soon Mzee umetajujaaaaa