steve_MOMO
Member
- Jun 21, 2019
- 44
- 11
Nikwel ukiwa nakitambi lazima uwe na pesa au japo kagari kaku buluzikia et
Si kweli wako wengi wana vitambi mifuko yao hohehahe.


hapo nisawa na mchaga bila mbegeKitambi mwenzie ujinga kama unabisha nitajie mtu mmoja mwenye pesa na kitambi ambae sio mjinga


mzee wataka nitekwe ama nia nn haswaKitambi mwenzie ujinga kama unabisha nitajie mtu mmoja mwenye pesa na kitambi ambae sio mjinga
Hahahahaha nilikuwa nakata mitaa ya jiji nikakutana na jamaa mmoja tunafahamiana kitambi kama mimba ya miezi tisa tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana kipindi kirefu. Akaniambia Mkuu kama ujuavyo hali ni mbaya sana kiuchumi pale nilipokuwa napiga mzigo sipo tena kampuni ilifungwa. Mwaka wa tatu huu niko kitaa nistue basi nikapate mlo. Jamaa mmoja poa sana nilishangaa kule kitambi anakihudumia vipi kama hana ajira.


angetoka 66 patKwahyo bola uwe modo mana siugojwaKitambi bad feeding,hayo mengine nikujifariji tu
Dah ndio umekuja kumsemea huku!Hahahahaha nilikuwa nakata mitaa ya jiji nikakutana na jamaa mmoja tunafahamiana kitambi kama mimba ya miezi tisa tukasalimiana maana tulikuwa hatujaonana kipindi kirefu. Akaniambia Mkuu kama ujuavyo hali ni mbaya sana kiuchumi pale nilipokuwa napiga mzigo sipo tena kampuni ilifungwa. Mwaka wa tatu huu niko kitaa nistue basi nikapate mlo. Jamaa mmoja poa sana nilishangaa kule kitambi anakihudumia vipi kama hana ajira.
Mimi namiliki kitambi wakati nashinda njaa na kula mataputapu kwa mama ntilie. suruali size 38



uwiiiBora mara mia,maana huo ni ugonjwaKwahyo bola uwe modo mana siugojwa
Nasikia skia tetes et kitambi kinasababisha pia ndungunya tufup mashine piyeeeBora mara mia,maana huo ni ugonjwa


Inawezekana ngoja watafiti waje na data zao watusaidieNasikia skia tetes et kitambi kinasababisha pia ndungunya tufup mashine piyeee![]()