ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 921
- 1,800
Mkuu nikuunge mkono kwa hii hoja..sio mara moja wala mbili nimewahi sikia waislamu ndo walileta uhuru nchi hii. Swali la msingi kuna manufaa gani kujua kama waislam au wakristo walilete uhuru. Kwa nn isiwe tu Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961.. Uislam ni malalamiko ukimtumbua mwislam kwenye position flan ukamchagua mkristo utaona wanavolalamika n.k. Bila shaka naye huyu kaandika kile2, sio uhalisia bali malalamishi..binafsi siwezi hata kukisoma hata nipewe bure.Kama nimemisunderstand i take back my word, kimsingi sinashida na uislam hata jina kiweje so long as theme haiki biased ila kinacho nisikitisha huwa kila kitabu ama maandishi wanayoandija kuhusu uislam huwa ni malakaniko tu, utasikia historia ya waislam imepotoshwa, mara mambo ya waislam yalinyanganywa kitu ambacho binafsu sikiamini kwani naamini hao waislqm wakipindi hicho nao walikuwa na akili timamu,
Kama kuna mambo waislam wa sasa wanatakiwa kuyafanya ni kurekebisha kasoro walizofanya waislam waliotangulia kwa kuweka vitu kwenye maandishi......
Na hili lilitokea pale walipopuuzia kusoma elimu ya hii ya maisha ya kawaida kwani kwenye elimu hii ndipo watu wanapopata fulsa hata ya kuandika maishayao kabla hata ya kuwa historia.....
Nampongeza sana mwandishi kwa kusoma vizuri mpaka ngazi aliyofikia na pia natiwa moyo na waislam wa siku hizi kwan wengi sana wanapeleka watoto wao shule na pia wao wanasoma.....
That great for future peace of the world.
Mbarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app