Kitabu Kipya cha Profesa Chachage Kimetoka

Kitabu Kipya cha Profesa Chachage Kimetoka

Companero

Platinum Member
Joined
Jul 12, 2008
Posts
5,609
Reaction score
1,734
51UPNkMweOL.jpg

Hatimaye kitabu cha Profesa Chachage Seithy L. Chachage kuhusu 'Uchambuzi wa Sera, Uongozi na Maslahi ya Watanzania' kimetoka. Ni mkusanyiko wa makala na mada mbalimbali alizoziandika kwa lugha yetu ya Kiswahili.

Kitabu kinapatikana Mkahawa wa Vitabu Soma (Soma Book Cafe) kwa Tsh. 24,000. Tembelea mkahawani ujipatie nakala yako.

Simu: 0673014071
Pepe: somabookcafe@yahoo.com
Ramani:
Soma Book Cafe | Burudani Utamaduni Maarifa

 
Back
Top Bottom