Mhe Ndyoko, Ni mawazo yangu, km kweli maendeleo ya nchi yeyote kwa dunia ya sasa ni mashindano ya kila nyanja na nchi zingine duniani ikiwemo biashara, ajira, technolojia, tamaduni, n.k. lugha ikiwa ni nyezo kuu mojawapo nadhani hata wewe unajua hilo na mifano unayo km wakny na watz mawazo ya kufundishia kiswahili unawarudisha watanzania hatua nyng nyuma sana usidanganywe na nchi zilizo endelea kiuchuni kutumia lugha asili yao kwani tayari wanajitoshelrza kwa mambo mengi sn sio km ss hatuna kila kitu, bado nfano china nchi nzima watu wana miminika kujifunja lugha za kibiashara na wanasaidiwa na serikali zao iweje sisi tulio hoi ? ?km ni swala la uasili na uwelewa mbona bado patakuwa na hoja za kutumia lugha za asili km kisukuma, kikurya,kisambaa zipo nchi zinafanya hivyo na uelewa utapanda je nini lengo la hy elimu ?? .,.,..,.., Tukija kwa swala la katiba kwanza ktk harakati za kuunda ni za muda mufupi tu, pili zinahusu watanzania pekee katiba haitaji kuuza nje ya nchi au kutumiwa na wamataifa, tatu ni rahisi saaannnaa mtanzania kuelewa vema kwa kiswahilli na kwa wingi zaidi kuliko lugha nyingine zezote.... kinachoangaliwa hapa ni malengo na tija kufikiwa,.,.,., nawasilisha,.,.,.