steveson manumbu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 887
- 178
Habari!
kwa majina naitwa Stephen Mliga, nina shahada ya lugha ya Kiswahili, pia napenda sana kufundisha Kiswahili. Hivyo kwa yeyote mwenye uwezo wa kuniunganisha sehemu yoyote hasa Kenya, Rwanda n.k. nipo tayari kufanya kazi na kujiendeleza na shahada ya pili ya lugha ya Kiswahili nchini Kenya.
Tafadhali, mwenye uwezo wa kunisadia naomba msaada ili niendeleze kipaji changu.
Naomba kuwasilisha.
Asanteni!
kwa majina naitwa Stephen Mliga, nina shahada ya lugha ya Kiswahili, pia napenda sana kufundisha Kiswahili. Hivyo kwa yeyote mwenye uwezo wa kuniunganisha sehemu yoyote hasa Kenya, Rwanda n.k. nipo tayari kufanya kazi na kujiendeleza na shahada ya pili ya lugha ya Kiswahili nchini Kenya.
Tafadhali, mwenye uwezo wa kunisadia naomba msaada ili niendeleze kipaji changu.
Naomba kuwasilisha.
Asanteni!