Uchunguzi mwingi uliofanyika wa lugha ya kiswahili ulishaonesha kuwa wa Kongo ndiyo wanazungumza kiswahili asilia, kwani huko kwao ndipo kilipoanzia. Tofauti iliyotokea ni kuwa kiswahili cha pwani baadaye kiliingiza maneno mengi ya kigeni- hususan Kiarabu, Kireno, na Kijerumani na ndiyo kikazaliwa hiki kiswahili ambacho wengi wetu wanahisi ndiyo fasaha.
Hata mimi naamini hivyo kwani Kiswahili cha Kongo kina maneno karibu yote ya Kibantu wakati hiki tunachotumia viraka ni vingi tu (maneno mengi ni ya kuazima). Kitu cha muhimu ni kuwa Kongo wanazungumza kiswahili chenye lafudhi ya bara na siso wengine tunazungumza kiswahili cha lafudhi ya mwambao, ambacho kiliendelezwa zaidi na wafanyabiashara miaka iliyopita.
Ahsanteni.