Kiswahili kinazidi kuharibiwa

itakiamo

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
598
1,006
Miaka ya zamani waandishi wa habari walikuwa wanatumia kiswahili kizuri sana,
Waandishi wa sasa inafika wakati anaandika neno " kusubutu" !! na mhariri anaipitisha!?
IMG_20231109_083629.jpg
 
Atakuja mtu mmoja atakwambia shuleni ulienda kusomea ujinga maana hujui faida za kiswahili katika taifa lako natania tu...

Peace & Love
Aje atuelezee kwa undani...

Maana kiswahili kimeishia kuongelewa mtaani ofisini ni kingereza...

Hakitambuliki wanalazimisha
 
Binafsi niliwai kua karibu na mwanahabari kaka angu Hasan Bumbuli (HB)
Sio Siri Huyu jamaa ni miongoni wa wahariri Bora sana wa muda wote hapa Africa mashariki na kati na hapa Nchini kwetu Tanzania...

NB.
Fuatilia kazi zake tangu FEMINA MAGAZINE pia Kwenye magazeti aliyo wai kufanya nayo kazi...

Wapo wahariri wengine wengi tu wazuri hapa Nchini Tanzania....nimetoa huu mfano wa Bumbuli sabb nimewai kua nae Kwa ukarib sana wakati Fulani (Moment for life)
 
Kabisa, unasoma kiswahili awali mpaka la Saba unakuja kukaririshwa kingereza...

Inafanya watoto wasome kwa kukariri na sio kuelewa..

Ndio maana wasomi wa mchongo wanaongezeka Tz..

Wewe acha tu shida za kiswahili ni nyingi sana. Ukitaja haziishi. Kiswahili kinadidimiza uchumi wa nchi na wa mtu mmoja mmoja.

Hopeless kabisa kutumia lugha kama hii
 
Wewe acha tu shida za kiswahili ni nyingi sana. Ukitaja haziishi. Kiswahili kinadidimiza uchumi wa nchi na wa mtu mmoja mmoja.

Hopeless kabisa kutumia lugha kama hii
Mkuu tuanze kutumia lugha pendekezwa from huu huu Uzi.....

Mwangaluka wamayu na wankima☺️😊☺️
 
Wewe acha tu shida za kiswahili ni nyingi sana. Ukitaja haziishi. Kiswahili kinadidimiza uchumi wa nchi na wa mtu mmoja mmoja.

Hopeless kabisa kutumia lugha kama hii
Fikiria mtu kasoma degree, ila akiitwa kwenye interview anatokwa jasho tena jembamba...

Vyeti vyake vizuri tu, ila anaogopa kupigwa maswali ya kingereza...

Wengine wanakosa kazi kwakuwa hawajaelewa maswali...

Maana sio lugha aliyoizoea...

Kiswahili kiwe lugha ya mtaani tu, darasani kingereza...
 
Fikiria mtu kasoma degree, ila akiitwa kwenye interview anatokwa jasho tena jembamba...

Vyeti vyake vizuri tu, ila anaogopa kupigwa maswali ya kingereza...

Wengine wanakosa kazi kwakuwa hawajaelewa maswali...

Maana sio lugha aliyoizoea...

Kiswahili kiwe lugha ya mtaani tu, darasani kingereza...
Sasa mkuu ukisoma Kwa kingereza mpaka degree na huwezi hata kuongea kingereza (Cha kuombea maji) kujielezea wewe kama wewe (mtu binafsi) huo ni ulemavu kama ulemavu mwingine mkuu...
 
Sasa mkuu ukisoma Kwa kingereza mpaka degree na huwezi hata kuongea kingereza (Cha kuombea maji) kujielezea wewe kama wewe (mtu binafsi) huo ni ulemavu kama ulemavu mwingine mkuu...
Kwa nini ushindwe kuongea kiingereza wakati ilitakiwa hadi nyumbani tuwe tunaongea kiingereza na kilugha tu?
 
Back
Top Bottom