Kiswahili halisi ni kile kinachozungumzwa na Watanzania nikimaanisha kinazunguzwa Tanzania bara na Zanzibar.Nakubali kuna utofauti wa matamshi ya maneno mbalimbali ya kiswahili kwa wazungumzaji ndani ya Tanzania.Utofauti huu wa matamshi unatokana na lugha za asili za makabila mbalimbali ya Kitanzania.Wakenya,Wakongo na wengine wanajifunza Kiswahili kupitia kwa Watanzania.