Ramadhani Dau anakula maisha ugaibuni
Halafu Mzalendo Na Kamanda Kama Wewe Maisha yanakutafuna kisawa Sawa Hahahaha
Ramadhani Dau anakula maisha ugaibuni
I feel sorry for himMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu aliekuwa Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa (TBC), Tido Mhando katika kesi yake ya matumizi mabaya ya madaraka
Tido anatuhumiwa pia kuisababishia serikali hasara ya Milioni 887.1 ambapo ataanza kujitetea September 20.
Haaaaahaaaa!!!!!!!Ramadhani Dau anakula maisha ugaibuni
hapana mkuu, kinachofuata ni yeye kupeleka utetezi wake, bad kesi haijaisha.Shetani ukimfanyia kazi hakuachi hivi hivi
Kwani serikali ya kipindi hicho ilikuwa imepigwa ganzi haikuona? Unaikumbuka Kesi ya Mahalu? Jiongeze hata hii inarufu ya kwenda hukoAkikutwa na hatia apewe shuruba haswa na viboko kila mwishoni mwa week.Mzee Tido ndio chanzo serikali kuingia mikataba mibovu na star media mpaka sasa naandika uzi huu jamaa wamefanya kamgomo baridi kuna baadhi ya watumiaji wa ving'amuzi hawapati free channel.
40 yake ipo pale pale walahiRamadhani Dau anakula maisha ugaibuni
AiseeAkikutwa na hatia apewe shuruba haswa na viboko kila mwishoni mwa week.Mzee Tido ndio chanzo serikali kuingia mikataba mibovu na star media mpaka sasa naandika uzi huu jamaa wamefanya kamgomo baridi kuna baadhi ya watumiaji wa ving'amuzi hawapati free channel.
Teh Teh....tutegemee mtu mzito kwenda kutoa ushahidi Au?Picha ndio linaanza...
Lakini akina chenge ngeleja tibaijuka lowasa wanakula Tu supu mtaani ndo maana watu wa sirikali kila siku wanatamani vyeo vikubwa ili wajitakase zaidi ata wakipumnzika washakuwa watakatifuAkikutwa na hatia apewe shuruba haswa na viboko kila mwishoni mwa week.Mzee Tido ndio chanzo serikali kuingia mikataba mibovu na star media mpaka sasa naandika uzi huu jamaa wamefanya kamgomo baridi kuna baadhi ya watumiaji wa ving'amuzi hawapati free channel.
Unaelewa maana ya kujitetea?Duh maana yake atatakiwa lipa hizo hela
Wana visasi zaidi ya nyoka.Serikali ya visasi ipo kazini.
aiseeeee !!!
Akikutwa na hatia apewe shuruba haswa na viboko kila mwishoni mwa week.Mzee Tido ndio chanzo serikali kuingia mikataba mibovu na star media mpaka sasa naandika uzi huu jamaa wamefanya kamgomo baridi kuna baadhi ya watumiaji wa ving'amuzi hawapati free channel.