Kisutu: Ni ujumbe gani hawa Mabalozi wameutuma kwa kuhudhuria kesi ya Freeman Mbowe?

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
1,475
1,672
Moja kwa moja kwenye hoja,, Marekani ni taifa lililo athirika Sana na Ugaidi. Na Ni nchi ambayo inapambana na magaini karibu dunia nzima, mfano ni Somalia( Al Shabab) Afghanistan (Tulban), Syria(IS). n k.

Sijawai ona any American diplomat ambaye aliudhulia kesi ya mtu anayetuhumiwa kwa Ugaidi,,iki kitu nimekiona Leo kwa Mbowe. Yaani hawa Mabeberu wanajua Mbowe anatuhumiwa kwa mashtaka hatari lakini bado wanakuja kisutu kuhudhuria kesi yake.

My question is,, Hawa Diplomats wanatupa picha gani juu ya hizi tuhumu za Mbowe.

Welcome
20210813_201954.jpg

Balozi wa Mareka na Mabalozi wengine wa nchi tatu wakiwa wameongozana na Mawakili wao, wamefika mahakama ya hakimu mkazi kisutu Leo kufuatilia kesi ya Mh. Freeman Mbowe, hata hivyo kesi hiyo imehairishwa hadi tarehe 27.8.2021.

Baadhi ya watu ikiwemo maafisa wa EU, Balozi za Marekani, Uingereza, Sweden na Ujerumani nchini Tanzania, leo Ijumaa, wakitoka katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
 
Moja kwa moja kwenye hoja,, Marekani ni taifa lililo athirika Sana na Ugaidi. Na Ni nchi ambayo inapambana na magaini karibu dunia nzima, mfano ni Somalia( Al Shabab) Afghanistan (Tulban), Syria(IS). n k

Sijawai ona any American diplomat ambaye aliudhulia kesi ya mtu anayetuhumiwa kwa Ugaidi,,iki kitu nimekiona Leo kwa Mbowe. Yaani hawa Mabeberu wanajua Mbowe anatuhumiwa kwa mashtaka hatari lakini bado wanakuja kisutu kuhudhuria kesi yake.

My question is,, Hawa Diplomats wanatupa picha gani juu ya hizi tuhumu za Mbowe.

Welcome
Mbowe ni wakala

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye hoja,, Marekani ni taifa lililo athirika Sana na Ugaidi. Na Ni nchi ambayo inapambana na magaini karibu dunia nzima, mfano ni Somalia( Al Shabab) Afghanistan (Tulban), Syria(IS). n k

Sijawai ona any American diplomat ambaye aliudhulia kesi ya mtu anayetuhumiwa kwa Ugaidi,,iki kitu nimekiona Leo kwa Mbowe. Yaani hawa Mabeberu wanajua Mbowe anatuhumiwa kwa mashtaka hatari lakini bado wanakuja kisutu kuhudhuria kesi yake.

My question is,, Hawa Diplomats wanatupa picha gani juu ya hizi tuhumu za Mbowe.

Welcome
Wanatu zoom tu.
 
Moja kwa moja kwenye hoja,, Marekani ni taifa lililo athirika Sana na Ugaidi. Na Ni nchi ambayo inapambana na magaini karibu dunia nzima, mfano ni Somalia( Al Shabab) Afghanistan (Tulban), Syria(IS). n k

Sijawai ona any American diplomat ambaye aliudhulia kesi ya mtu anayetuhumiwa kwa Ugaidi,,iki kitu nimekiona Leo kwa Mbowe. Yaani hawa Mabeberu wanajua Mbowe anatuhumiwa kwa mashtaka hatari lakini bado wanakuja kisutu kuhudhuria kesi yake.

My question is,, Hawa Diplomats wanatupa picha gani juu ya hizi tuhumu za Mbowe.

Welcome
Msemaji mkuu wa Siri kali huenda atajitokeza kukana au kufafanua tusubiri.
Hawaachi kukana barua iko mezani!
Tunalipeleka Taifa wanakotaka hawa poliCCm na genge lao.
 
Moja kwa moja kwenye hoja,, Marekani ni taifa lililo athirika Sana na Ugaidi. Na Ni nchi ambayo inapambana na magaini karibu dunia nzima, mfano ni Somalia( Al Shabab) Afghanistan (Tulban), Syria(IS). n k

Sijawai ona any American diplomat ambaye aliudhulia kesi ya mtu anayetuhumiwa kwa Ugaidi,,iki kitu nimekiona Leo kwa Mbowe. Yaani hawa Mabeberu wanajua Mbowe anatuhumiwa kwa mashtaka hatari lakini bado wanakuja kisutu kuhudhuria kesi yake.

My question is,, Hawa Diplomats wanatupa picha gani juu ya hizi tuhumu za Mbowe.

Welcome
Mungu wabariki Wazungu
 
Moja kwa moja kwenye hoja,, Marekani ni taifa lililo athirika Sana na Ugaidi. Na Ni nchi ambayo inapambana na magaini karibu dunia nzima, mfano ni Somalia( Al Shabab) Afghanistan (Tulban), Syria(IS). n k

Sijawai ona any American diplomat ambaye aliudhulia kesi ya mtu anayetuhumiwa kwa Ugaidi,,iki kitu nimekiona Leo kwa Mbowe. Yaani hawa Mabeberu wanajua Mbowe anatuhumiwa kwa mashtaka hatari lakini bado wanakuja kisutu kuhudhuria kesi yake.

My question is,, Hawa Diplomats wanatupa picha gani juu ya hizi tuhumu za Mbowe.

Welcome
Mama muimba taarab nchi imemshinda, anaipeleka shimoni
 
Back
Top Bottom