Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 660
- 784
Salaam Watanzania Wenzangu.
NI baelezee.
Afrika kulikuwa na magonjwa mengine ya kawaida tu, kama vile Kifua kikuu, Ukoma, Na ugonjwa wa Usingizi.
Magonjwa haya hayakusababisha vifo vya halaiki kama magonjwa waliyo kujanayo Wazungu kwasababu hayakuwa yameenea sana au yalikuwa hatari kama yale ambayo Wazungu walikuja nayo, kama vile Ndui, Surua, Mafua, Malaria, Kipindupindu, homa ya uti wa mgongo na Kaswende.
Banasema,magonjwa yametoka Afrique Nadhani hao wanaosema hivyo wanahitaji kurudi kwa muUnivasite au basepe.
NI hivyo tu.
NI baelezee.
Afrika kulikuwa na magonjwa mengine ya kawaida tu, kama vile Kifua kikuu, Ukoma, Na ugonjwa wa Usingizi.
Magonjwa haya hayakusababisha vifo vya halaiki kama magonjwa waliyo kujanayo Wazungu kwasababu hayakuwa yameenea sana au yalikuwa hatari kama yale ambayo Wazungu walikuja nayo, kama vile Ndui, Surua, Mafua, Malaria, Kipindupindu, homa ya uti wa mgongo na Kaswende.
Banasema,magonjwa yametoka Afrique Nadhani hao wanaosema hivyo wanahitaji kurudi kwa muUnivasite au basepe.
NI hivyo tu.