Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,097
kwani kwiregi si ndio ukara au kuna ukara na kwiregiKaka huko ndo kwetu jitahidi uwe makini tu, karibu sana tu napenda wageni mje kwa wingi, ukara, uwende na kwiregi pazuri sana
kaka unawasikia wakara au unawafahamu, hawa watu huwa hawajaribiwiWewe kuna kitu unakitafuta sio kuja hapa na vijistori vya "Ukara".
Sema unachotafuta usaidiwe kama ni Stori za yule Mkuu pale, Shauri zako!
"KISIWA CHA UKARA"
Huyo mtalii akifika Ukara, ajaribu kufanya utafiti kuhusu kabila hili na akiweza ayalinganishe maisha yao na Wahadzabe wanaoishi maisha ya Ujima, ya kutafuta asali, wadudu na kuwinda wanyama wadogo wadogo, na pia maisha ya kuhamahama.Kabila la wakara waishio ukara ni kabila linalodharauliwa kuliko makabila yote Tanzania
Sidhani kama kuna kiongozi wa nchi hii aliwahi kutoka huko...hata kama ametoka huko hatajitambulisha kama Mkara.
Leo nasafiri kwenda katika kisiwa cha Ukara, nmeona ni vyema ningewajuza kuhusu kisiwa hiki kilichopo ndani ya mipaka ya Tanzania. Kabla sijaja Mwanza kikazi nlikuwa nasikia kuhusu kisiwa cha Ukerewe tu, kutokana na kazi yangu nimeweza fika katika visiwa nane tofuti na Ukerewe vyote vikiwa ndani ya mipaka ya Tanzania. Hivyo leo tutaiongelea Ukara tu.
Ukara ni kisiwa cha pili kwa ukubwa ndani ya ziwa Victoria kwa upande wa Tanzania, kisiwa kinachoongoza kwa ukubwa ndani ya ziwa ni kisiwa cha Ukerewe.
Wenyeji wa kisiwa cha Ukara wanaitwa Wakara, hawa wanaongea lugha inayoingiliana na wajita wa Musoma, pia wakerewe huongea lugha hiyo hiyo.
Kisiwa cha Ukara kina mawe yaliyopachikwa jina la "the dancing stones", kwamba mawe yanayocheza. Sijawahi kwenda yatembelea bado, japo ntajitahidi fika huko kwa siku za usoni. Pia inasemekana kuna mti ambao majani yake yakiingia ndani ya ziwa, yakitoka anatoka mambo na sio majani tena.
Kufika Ukara kwa kutokea Mwanza inakubidi upande ferry kutoka Mwanza hadi Nansio Ukerewe, baada ya hapo utapanda Tax kutoka Nansio hadi Bugorora, kutoka Bugorora utapanda tena ferry hadi Ukara, Ferry inafikia katika kijiji cha Bwisya.
Ntaendelea wajusa safari ya Ukara step kwa step.
View attachment 478574
nasikia mabint wa kule wana antennae ndefu, hebu toa mrejesho ni kweliDah ukaraaa? Nilipataga demu kule. Chumba guest self kabisa buku tano tu
Shairi zake! mie simo!!kaka unawasikia wakara au unawafahamu, hawa watu huwa hawajaribiwi
Huko anaenda kufanya nini, acha Mihemko! Visiwa vya Jirani na Ukara ni pamoja na Nyambusi Nyeru, Igenge, Rukuba, Irugwa, Iriga, Ukerewe, Igongo, Nyakatende, n.k Acha Mihemko wewe!Usisahau pia kufika Bwilo, Goziba, harwego, rubya ,Selema, masonga na chankamba
kwiregi ni ukara wajita ndio hutumia hilo neno kwiregi lakini lina maana na sijui maana gani, kama ilugwa sawa, nasikia ukerewe imezungukwa na visiwa 32 vidogo vidogo, nimebahatika kufika nafuba na bwiro tu, vingine huwa naonyeshwa tu, ile ilugwa, ukara, syengere, kwetu na kweru mto, sizu,Nilitaka kuandika kwirugwa samahani kwetu pamenikaa sana