Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 901
- 907
Mtendaji aliesimamia Aapa kilikuwepo muda michache uliopita
Wizi na upigaji wa Putin, kuwa birionea katikati ya masikini ndio dunia ya sasa haiutakagi kabisaHuu ujinga ndio Putin hautakagi
Kawaulize watu wa mabenki watakwambia vituko wanavyokutana navyo.mtu anaandika dhamana nyumba wakienda kukagua Kuiona wanakuta haipo anaapa kuwa ilikuwepo hapo hata yeye anashangaa haipo!! Kama wao wanavyoshangaa!!Mtendaji aliesimamia Aapa kilikuwepo muda michache uliopitaView attachment 2267808
Kigoma au wapi manake tusilaum tuMtendaji aliesimamia Aapa kilikuwepo muda michache uliopitaView attachment 2267808
Huwezi kuongoza nchi kama nyapara anayesimamia wafungwa. Nchi inaongozwa kwa mfumo maalumu na madhubuti uliowekwa baada ya kufanya research ya kina. Hawa watu wanaambiwa kila siku lakini wanajifanya ''mwache mama kwanza ajenge uchumi''.Duh.
Hii nchi itabidi kukaa na bastola mkononi. Waporaji ni wengi, magerezani hawatatosha.
Wafanyakaz wa serikali wamekua wahuni sana yaaan wanatakiwa wasimamiwe na mjeledi ndiyo ataendaKawaulize watu wa mabenki watakwambia vituko wanavyokutana navyo.mtu anaandika dhamana nyumba wakienda kukagua Kuiona wanakuta haipo anaapa kuwa ilikuwepo hapo hata yeye anashangaa haipo!! Kama wao wanavyoshangaa!!
Uaminifu Tatizo ndio maana inatakiwa staili ya kibabe kama ya Magufuli kusimamia wafanyakazi public sector
Wachana na Putin, hapa kuna CCM!Huu ujinga ndio Putin hautakagi
Umesahau kuikamilisha sentesi hiyo,..., ngoja nami niimalizie; "kwa urefu wa kamba zao.". Uchumi gani anajenga wakati watu ndiyo kwanza wanashindana kula?
Na usishangae, Mtendaji huyu akawa na mizizi imara kabisa inayomlinda ndani ya chama!Mtendaji aliesimamia Aapa kilikuwepo muda michache uliopita
Kama ni kigoma, tuulize taratibu huenda ikawa kweli??Kigoma au wapi manake tusilaum tu
🤣🤣🤣🤣🤣Mtendaji aliesimamia Aapa kilikuwepo muda michache uliopitaView attachment 2267808