Kisiasa, mwaka 2017 CCM imeimarika sana!

Kisiasa, mwaka 2017 CCM imeimarika sana!

Namtakia salamu za heri ya krismasi na mwaka mpya 2018 mwenyekiti wa CCM Taifa.

Sio siri mwaka huu CCM imefanikiwa sana kisiasa na kiutendaji pia.

CCM imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza ilani yake na ahadi kwa wananchi.

Yapo mengi ya kujivunia na kutembea kifua mbele kama chama dola.

Vita dhidi ya ufisadi na mafisadi ilipamba moto mwaka huu.

Utetezi wa rasilimali za nchi ni jambo kubwa sana kwa serikali chini ya CCM Kujivunia.

Vita dhidi ya rushwa ndogo na kubwa imeimarika na hatua zimechukuliwa na kuonekana kuchukuliwa.

Maendeleo kwa wananchi wa hali ya chini yameanza kuonekana vilivyo.

Tija katika masoko na bei za mazao ya kilimo hasa hasa kwenye korosho imeonekana.

Viwanda vimeanza kujengwa hasa hasa katika mkoa wa pwani.

Tumeshuhudia uzinduzi wa miradi mikubwa ya maji hasa katika maeneo korofi kama Sengerema na longido.

Fedha za kutosha katika afya hasa eneo la dawa na vifaa tiba imesaidia kubiresha huduma za afya nchini.

Ujenzi wa miuondo mbinu kama ya barabara na madaraja ni eneo lililodhihirisha umadhubuti wa serikali ya JPM.

Kufufuka kwa shirika letu la anga na ndege sio jambo la kubezwa.

Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu imeongezwa na kutolewa kwa wakati na kwa wanaostahili.

Kurejeshwa kwa ardhi zilizopokwa na mafisadi na wabinafsi imewapatia faraja wananchi waliozulumiwa.

Kuondolewa kwa vihiyo na vilaza katika sekta ya huduma za umma sio jambo dogo lakini limefanyika kwa ustadi na werevu wa hali ya juu.

Mikopo kwa vijana na wanawake imewafikia walengwa kwa mara ya kwanza.

Uwajibishwaji wa papo kwa papo kwa viongozi wazembe wa umma umeonesha nia na dhamiri safi ya Serikali ya JPM.

Ukusanyaji wa kodi halali za serikali umeumeonesha uimara wa Serikali ya JPM.

Utalii umeboreka huku ujangili dhidi ya Tembo na wanyama wengine muhimu umepungua kwa kasi.

Usimamizi wa rasilimali zetu kama nchi umeimarishwa kiusimamizi na kisheria.

CCM imeweza kuwavutia wanachama muhimu na wengi wa vyama vya upinzani hadi wakajiuzulu na kujiunga na CCM ili kuwa huru na kumsupport Magufuli katika kuleta maendeleo ya mama Tanzania.

Chini ya uwenyekiti wa Rais Magufuli CCM imeweza kuunganishwa upya na kutoa fursa kwa kila mwanaccm.

WanaCCM wote wanapaswa kuyatambua mazuri mengi yaliyotekelezwa na kikosi kazi chini ya Rais Magufuli...na hivyo wanatakiwa kuyasema na kuwaelimisha wananchi.

Yapo mengi ya kuyaelezea lakini kwa kifupi naweza kuyataja haya.

Tuingeze mengine ili tujitathmini kama nchi.

Mungu amponye na kumlinda Rais wa Jamhuri huru ya Tanzania ambaye pia ni mwenyekiti wa chama dola CCM ndugu John Pombe Magufuli.

Magufuli as expected has shown the world that he is more than a politician...he is a performance oriented leader!!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
swali moja tu, hivi hawa wanaotuhumiwa kwa rushwa ni Chama gani vile,?akina bashite huku anatumia magari ya Wauza unga na mnyeti yupo ccm kweli?
 
Namtakia salamu za heri ya krismasi na mwaka mpya 2018 mwenyekiti wa CCM Taifa.

Sio siri mwaka huu CCM imefanikiwa sana kisiasa na kiutendaji pia.

CCM imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza ilani yake na ahadi kwa wananchi.

Yapo mengi ya kujivunia na kutembea kifua mbele kama chama dola.

Vita dhidi ya ufisadi na mafisadi ilipamba moto mwaka huu.

Utetezi wa rasilimali za nchi ni jambo kubwa sana kwa serikali chini ya CCM Kujivunia.

Vita dhidi ya rushwa ndogo na kubwa imeimarika na hatua zimechukuliwa na kuonekana kuchukuliwa.

Maendeleo kwa wananchi wa hali ya chini yameanza kuonekana vilivyo.

Tija katika masoko na bei za mazao ya kilimo hasa hasa kwenye korosho imeonekana.

Viwanda vimeanza kujengwa hasa hasa katika mkoa wa pwani.

Tumeshuhudia uzinduzi wa miradi mikubwa ya maji hasa katika maeneo korofi kama Sengerema na longido.

Fedha za kutosha katika afya hasa eneo la dawa na vifaa tiba imesaidia kubiresha huduma za afya nchini.

Ujenzi wa miuondo mbinu kama ya barabara na madaraja ni eneo lililodhihirisha umadhubuti wa serikali ya JPM.

Kufufuka kwa shirika letu la anga na ndege sio jambo la kubezwa.

Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu imeongezwa na kutolewa kwa wakati na kwa wanaostahili.

Kurejeshwa kwa ardhi zilizopokwa na mafisadi na wabinafsi imewapatia faraja wananchi waliozulumiwa.

Kuondolewa kwa vihiyo na vilaza katika sekta ya huduma za umma sio jambo dogo lakini limefanyika kwa ustadi na werevu wa hali ya juu.

Mikopo kwa vijana na wanawake imewafikia walengwa kwa mara ya kwanza.

Uwajibishwaji wa papo kwa papo kwa viongozi wazembe wa umma umeonesha nia na dhamiri safi ya Serikali ya JPM.

Ukusanyaji wa kodi halali za serikali umeumeonesha uimara wa Serikali ya JPM.

Utalii umeboreka huku ujangili dhidi ya Tembo na wanyama wengine muhimu umepungua kwa kasi.

Usimamizi wa rasilimali zetu kama nchi umeimarishwa kiusimamizi na kisheria.

CCM imeweza kuwavutia wanachama muhimu na wengi wa vyama vya upinzani hadi wakajiuzulu na kujiunga na CCM ili kuwa huru na kumsupport Magufuli katika kuleta maendeleo ya mama Tanzania.

Chini ya uwenyekiti wa Rais Magufuli CCM imeweza kuunganishwa upya na kutoa fursa kwa kila mwanaccm.

WanaCCM wote wanapaswa kuyatambua mazuri mengi yaliyotekelezwa na kikosi kazi chini ya Rais Magufuli...na hivyo wanatakiwa kuyasema na kuwaelimisha wananchi.

Yapo mengi ya kuyaelezea lakini kwa kifupi naweza kuyataja haya.

Tuingeze mengine ili tujitathmini kama nchi.

Mungu amponye na kumlinda Rais wa Jamhuri huru ya Tanzania ambaye pia ni mwenyekiti wa chama dola CCM ndugu John Pombe Magufuli.

Magufuli as expected has shown the world that he is more than a politician...he is a performance oriented leader!!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wezi haooooooo! Piga! Piga!

Mabina kabakia mbavu tu na fuvu kaburini! Chezea mawe weye!
 
Namtakia salamu za heri ya krismasi na mwaka mpya 2018 mwenyekiti wa CCM Taifa.

Sio siri mwaka huu CCM imefanikiwa sana kisiasa na kiutendaji pia.

CCM imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza ilani yake na ahadi kwa wananchi.

Yapo mengi ya kujivunia na kutembea kifua mbele kama chama dola.

Vita dhidi ya ufisadi na mafisadi ilipamba moto mwaka huu.

Utetezi wa rasilimali za nchi ni jambo kubwa sana kwa serikali chini ya CCM Kujivunia.

Vita dhidi ya rushwa ndogo na kubwa imeimarika na hatua zimechukuliwa na kuonekana kuchukuliwa.

Maendeleo kwa wananchi wa hali ya chini yameanza kuonekana vilivyo.

Tija katika masoko na bei za mazao ya kilimo hasa hasa kwenye korosho imeonekana.

Viwanda vimeanza kujengwa hasa hasa katika mkoa wa pwani.

Tumeshuhudia uzinduzi wa miradi mikubwa ya maji hasa katika maeneo korofi kama Sengerema na longido.

Fedha za kutosha katika afya hasa eneo la dawa na vifaa tiba imesaidia kubiresha huduma za afya nchini.

Ujenzi wa miuondo mbinu kama ya barabara na madaraja ni eneo lililodhihirisha umadhubuti wa serikali ya JPM.

Kufufuka kwa shirika letu la anga na ndege sio jambo la kubezwa.

Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu imeongezwa na kutolewa kwa wakati na kwa wanaostahili.

Kurejeshwa kwa ardhi zilizopokwa na mafisadi na wabinafsi imewapatia faraja wananchi waliozulumiwa.

Kuondolewa kwa vihiyo na vilaza katika sekta ya huduma za umma sio jambo dogo lakini limefanyika kwa ustadi na werevu wa hali ya juu.

Mikopo kwa vijana na wanawake imewafikia walengwa kwa mara ya kwanza.

Uwajibishwaji wa papo kwa papo kwa viongozi wazembe wa umma umeonesha nia na dhamiri safi ya Serikali ya JPM.

Ukusanyaji wa kodi halali za serikali umeumeonesha uimara wa Serikali ya JPM.

Utalii umeboreka huku ujangili dhidi ya Tembo na wanyama wengine muhimu umepungua kwa kasi.

Usimamizi wa rasilimali zetu kama nchi umeimarishwa kiusimamizi na kisheria.

CCM imeweza kuwavutia wanachama muhimu na wengi wa vyama vya upinzani hadi wakajiuzulu na kujiunga na CCM ili kuwa huru na kumsupport Magufuli katika kuleta maendeleo ya mama Tanzania.

Chini ya uwenyekiti wa Rais Magufuli CCM imeweza kuunganishwa upya na kutoa fursa kwa kila mwanaccm.

WanaCCM wote wanapaswa kuyatambua mazuri mengi yaliyotekelezwa na kikosi kazi chini ya Rais Magufuli...na hivyo wanatakiwa kuyasema na kuwaelimisha wananchi.

Yapo mengi ya kuyaelezea lakini kwa kifupi naweza kuyataja haya.

Tuingeze mengine ili tujitathmini kama nchi.

Mungu amponye na kumlinda Rais wa Jamhuri huru ya Tanzania ambaye pia ni mwenyekiti wa chama dola CCM ndugu John Pombe Magufuli.

Magufuli as expected has shown the world that he is more than a politician...he is a performance oriented leader!!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe na wanaokutuma.mna shida kubwa sana ya kufikiria ! Ccm hii ambayo uchaguzi wa ndani ulighubikwa na vitimbwi hata vya kumfanya mtu achaguliwe kwa 100% wakati inajulikana hata kikwete tu hajamchagua? Ccm iliyowazuia wenzake kukimbia/mikutano ya vyama hata ya ndani hamna wakati hata mwenyekit wake akienda kuzika anahutubia? Hahahaha ! U must think beyond mkuu..ni sawa na kwenda.mpirani kushangilia timu moja
 
Acha unafiki basi ndugu dah!!
Wameimarika kwa kuwazuia wengine kufanya shughuli za kisiasa kama walivyoruhusiwa na sheria!!

Ruhusuni na vyama vingine vifanye siasa,wawe huru kukutana na wananchi alafu ndo mje na hilo la nyie kukubalika ndo ntawaelewa
 
JPM NI CHAGUO LA MUNGU KWA WATANZANIA, MUNGU MBARIKI RAIS HUYU MPENDWA WA WATANZANIA.
Hauwezi kuachwa kwenye uteuzi wa watendaji wa tarafa mwezi Januari 2018. Umejitahidi sana, njozi za namna hii ndio zinatakiwa, ongezea na namba ya simu.
 
Imeimarika wapi? Kwa kutumia vyombo vya dola? Hii ndio ccm dhaifu kuliko zilizo wahi kuwepo tangu 1977. Hii iebebwa na polisi na jeshi. Hana lolote.
 
imeimarika kwa sababu inafanya biashara ya binadamu
 
Upinzani utaongelea lipi haswa zaidi ya kuzusha?
Kwani hayo uliyoyaandika si ni hisia zako tu lakini kiuhalisia hakuna kitu ni hewa! Umeona bei ya korosho tu lakini hujiulizi bei ya mahindi na mbaazi?
Kwenye rushwa tengua kauli. Sidanganyiki binafsi kwani sijaona lolote zaidi ya maigizo.
Kwenye ngada ndio kabisaaa usiseme lolote kwani hata bei imeshuka na wanaoiingiza ni ccm!
Mikopo ya wanafunzi imekaa kibaguzi na ili upewe ni sharti uonyeshe card ya ccm! Shame! Mlilofanikiwa kwa asilimia kubwa ni lile la kuiba kura za madiwani na kujitangazia ushindi na hili la kuwanunua wabunhe na madiwani kwa cash kama vitumbua! Shame again! Katubuni.
 
Ujinga wenu huwa hauwaishi mnampambania magufuli?mnampambaniaje magufuli?kwa nini mnatumia nguvu nyingi sana kumpamba ? Maana nijuavyo mimi chema chajiuza chenyewe bila hata promotion! Mbona nawaona promotion zina zidi ? Au ndio sio chema ? Halafu tikiwaambia UVCCM wengi hamna akili mnanuna , mnaimarika kivipi wakati hampo kwenye ushindani?
muadilifu lazima apambaniwe na waadilifu dhidi ya mafisadi waliotaka kuingia ikulu na kuitafuna nchi.
 
Kwahiyo katiba inaelekezaje mkuu au mnaikanyaga tu mjuavyo ninyi,

Je chama ca siasa kikifanya mikutano kwa ajili ya kujiimarisha ni kosa kubwa kwenu sio

Yaani mnapenda kusikia mnachokitaka tu sio
ACT Kila uchao wanafanya mikutano na kutoa maramko.
Chadema wanakutana kila mwezi na kutoa matamko...je ulisikiawamekamatwa?
 
ACT Kila uchao wanafanya mikutano na kutoa maramko.
Chadema wanakutana kila mwezi na kutoa matamko...je ulisikiawamekamatwa?
TUnataka ile mikutano ya hadhara watu wakaongee na wananchi kama hapo zamani
 
TUnataka ile mikutano ya hadhara watu wakaongee na wananchi kama hapo zamani
Wananchi wako makazini na shambani wakijenga Taifa nyie mnataka waandamane na kupigwa mabomu.
Naamini mwaka huu wananchi wengi wamepata ahueni ya kutokupigwa mabomu na kupata vilema vya maisha.

Kwenye mikutano ya kampeni mna fursa iliyo nzuri ya kuwahutubia wananchi.

Kama mna miradi mnayoitekeleza mna fursa nzuri ya kuongea na wananchi.

Kama ni kuhamasisha wananchi kujenga shule ,vyoo n.k fursa ipo.

Huu sio muda wa kuwafanya watanzania misukule wa siasa zenu za kimbea na kiharakati ili mpate clips za kuombea fedha ulaya.
 
CCM imefauru sana kwenye mwaka huu kwa kuwatumia wateule wa Ikulu kuwafanyia mazingaombwe ya siasa ya kuwanunua viongozi na wawakilishi wa wananchi kutoka upinzani ili kujifanya wanakubalika, niheri akuambiaye ulipo jikwaa kuliko kumziba mdomo na akaamua kukusenkenya kwa pembeni ilimradi tu uonekane fakini
 
Namtakia salamu za heri ya krismasi na mwaka mpya 2018 mwenyekiti wa CCM Taifa.

Sio siri mwaka huu CCM imefanikiwa sana kisiasa na kiutendaji pia.

CCM imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza ilani yake na ahadi kwa wananchi.

Yapo mengi ya kujivunia na kutembea kifua mbele kama chama dola.

Vita dhidi ya ufisadi na mafisadi ilipamba moto mwaka huu.

Utetezi wa rasilimali za nchi ni jambo kubwa sana kwa serikali chini ya CCM Kujivunia.

Vita dhidi ya rushwa ndogo na kubwa imeimarika na hatua zimechukuliwa na kuonekana kuchukuliwa.

Maendeleo kwa wananchi wa hali ya chini yameanza kuonekana vilivyo.

Tija katika masoko na bei za mazao ya kilimo hasa hasa kwenye korosho imeonekana.

Viwanda vimeanza kujengwa hasa hasa katika mkoa wa pwani.

Tumeshuhudia uzinduzi wa miradi mikubwa ya maji hasa katika maeneo korofi kama Sengerema na longido.

Fedha za kutosha katika afya hasa eneo la dawa na vifaa tiba imesaidia kubiresha huduma za afya nchini.

Ujenzi wa miuondo mbinu kama ya barabara na madaraja ni eneo lililodhihirisha umadhubuti wa serikali ya JPM.

Kufufuka kwa shirika letu la anga na ndege sio jambo la kubezwa.

Mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu imeongezwa na kutolewa kwa wakati na kwa wanaostahili.

Kurejeshwa kwa ardhi zilizopokwa na mafisadi na wabinafsi imewapatia faraja wananchi waliozulumiwa.

Kuondolewa kwa vihiyo na vilaza katika sekta ya huduma za umma sio jambo dogo lakini limefanyika kwa ustadi na werevu wa hali ya juu.

Mikopo kwa vijana na wanawake imewafikia walengwa kwa mara ya kwanza.

Uwajibishwaji wa papo kwa papo kwa viongozi wazembe wa umma umeonesha nia na dhamiri safi ya Serikali ya JPM.

Ukusanyaji wa kodi halali za serikali umeumeonesha uimara wa Serikali ya JPM.

Utalii umeboreka huku ujangili dhidi ya Tembo na wanyama wengine muhimu umepungua kwa kasi.

Usimamizi wa rasilimali zetu kama nchi umeimarishwa kiusimamizi na kisheria.

CCM imeweza kuwavutia wanachama muhimu na wengi wa vyama vya upinzani hadi wakajiuzulu na kujiunga na CCM ili kuwa huru na kumsupport Magufuli katika kuleta maendeleo ya mama Tanzania.

Chini ya uwenyekiti wa Rais Magufuli CCM imeweza kuunganishwa upya na kutoa fursa kwa kila mwanaccm.

WanaCCM wote wanapaswa kuyatambua mazuri mengi yaliyotekelezwa na kikosi kazi chini ya Rais Magufuli...na hivyo wanatakiwa kuyasema na kuwaelimisha wananchi.

Yapo mengi ya kuyaelezea lakini kwa kifupi naweza kuyataja haya.

Tuingeze mengine ili tujitathmini kama nchi.

Mungu amponye na kumlinda Rais wa Jamhuri huru ya Tanzania ambaye pia ni mwenyekiti wa chama dola CCM ndugu John Pombe Magufuli.

Magufuli as expected has shown the world that he is more than a politician...he is a performance oriented leader!!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Usiseme ccm imeimarika, sema uvunjwaji demokrasia na haki za binadamu vimeimarika na kushamiri 2017.
 
Wananchi wako makazini na shambani wakijenga Taifa nyie mnataka waandamane na kupigwa mabomu.
Naamini mwaka huu wananchi wengi wamepata ahueni ya kutokupigwa mabomu na kupata vilema vya maisha.

Kwenye mikutano ya kampeni mna fursa iliyo nzuri ya kuwahutubia wananchi.

Kama mna miradi mnayoitekeleza mna fursa nzuri ya kuongea na wananchi.

Kama ni kuhamasisha wananchi kujenga shule ,vyoo n.k fursa ipo.

Huu sio muda wa kuwafanya watanzania misukule wa siasa zenu za kimbea na kiharakati ili mpate clips za kuombea fedha ulaya.
Sawa mlizuia bunge live kwa kauli kama zako hizo

Halafu kila siku mfalme yupo live
 
Back
Top Bottom