Kishika uchumba ni shilingi ngapi?

Mtoa MADA,
God, bless you. Nimejifunza Mengi kutoka kwa wachangiaji. Nimepata mwanga, maana niliwazia sana hilo suala.
Piga vita ukapera, tangulia wengine tuko nyuma yako, nikipata wa kumtolea.

Sent from my Infinix HOT 3 using JamiiForums mobile app
 
Kuweka hela kwenye bahasha wanafanya wazaramo bhana,,,peleka posa na wazee kwa heshima,we unaweka hela kwenye bahasha na haitafika hata kai mbili,,na kwa nn kuwe na kishika uchumba,kwetu hakuna kishika uchumba,unatua wazee kwenda kuongelea posa,wakikubalina fresh unalipa kama huna yte unalipa ulicho nacho then mambo mengine yanafuata
 
Njaa mbaya sana
 
Asnte mkuu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…