hahaha umenikumbusha jamaa ang mmoja kawatuma mjomba na rafiki ake wapeleke barua ndan kaweka 35000,wamechana wamegawana kumikumi imebak 15 elfu,mbaya zaidi alishawasiliana na mtarajiwa wake kua kesho mjomba ataleta barua na nimeweka 35 tu naomba muipokeee,duuh kilichotokea balaa tupu kumbe nae mtarajiwa alishawaambia kiasi kitakachokuepo kwenye hio barua
Jamaa alionekana muongo kuanzia kwa mchumba mpaka wazazi,na wale wajomba/shangazi waliokuja kusoma barua wameona jamaa ana dharau barua imefunguliwa kabla haijafika kwa wahusika,yaani ilikua kituko cha kiwango cha lami
Aiseeee jamaaaa c alionekana
Muongo sana cjui kama
Alikubaliwa
Bravo 11 ukiwa na shida na simu yako ni pm me ndio mchawi wa hiyo simu .PlzPeleka buku5
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Asante mkuuShilingi 100 tu inatosha Mkuu kuonyesha nia yako ya kumchukua mrembo jumla jumla. Kila la heri na baraka.
Hahaha sawa mkuuToa 15,000/= we peleka laki mbili kama hujatajiwa mahari milioni nne
Hapo una confuse kati ya kishika uchumba(Barua) na Mahari,Inamaana unataka upeleke
50 ndo iliyokutunzia jiko
25+years
Nimekuelewa mkuu laƙn mtu anaweza ela kuanzia 50000 kama motisha tuHapo una confuse kati ya kishika uchumba(Barua) na Mahari,
Kishika uchumba ni ile pesa inayowekwa kwenye barua ya kueleza nia yako(not even neccessary kuweka pesa ndani)
Baada ya kujadiliwa barua inarudishwa kwa kiwango cha mahari, hapo sasa ndio mziki wake sie hatuingiliiii, lol
Exactly, ni motisha tu wala hakuna ulazima.Nimekuelewa mkuu laƙn mtu anaweza ela kuanzia 50000 kama motisha tu
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Haa haa ila kwa uswa huuHapo una confuse kati ya kishika uchumba(Barua) na Mahari,
Kishika uchumba ni ile pesa inayowekwa kwenye barua ya kueleza nia yako(not even neccessary kuweka pesa ndani)
Baada ya kujadiliwa barua inarudishwa kwa kiwango cha mahari, hapo sasa ndio mziki wake sie hatuingiliiii, lol
Haswaaaaaaa, lazima Tupambane na hali zetu, lolHaa haa ila kwa uswa huu
Kishika uchumba hakifai
Kuwa chin ya laki