Fikra mlazo
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 237
- 37
Leo kwa fahamu zangu zote 5 nimeona manyanyaso ya wanajeshi cjui wa JWTZ wale,kambi ya Twalipo pale Mtoni Sabasaba wakiwaharass vijana walokuwa wamepenya uwanjan kucheza mpira na kufanya mazoez.!
Waliwatoa mkuku,waliwapga,Walobahatika kukamatwa,walibingirishwa na baiskeli zao..najua sote twafahamu ila hadi kuwatukana matusi mazito ya nguon kbs?mbele ya umma?kisa tu wamepewa dhamana flani nchini?kisa Wajeda?au ni hko kiburi knasababisha mauaji yenu ya kila leo kushirikiana na majambazi??
Tubadilike jaman, au hamjui mnamtukanisha Amiri jeshi mkuu?badiliken jombaaz.
Waliwatoa mkuku,waliwapga,Walobahatika kukamatwa,walibingirishwa na baiskeli zao..najua sote twafahamu ila hadi kuwatukana matusi mazito ya nguon kbs?mbele ya umma?kisa tu wamepewa dhamana flani nchini?kisa Wajeda?au ni hko kiburi knasababisha mauaji yenu ya kila leo kushirikiana na majambazi??
Tubadilike jaman, au hamjui mnamtukanisha Amiri jeshi mkuu?badiliken jombaaz.