Fikra mlazo
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 237
- 37
- Thread starter
- #21
Eti nini?
Ndo hvo ati
Eti nini?
Kwanini hao Raia wasitumie ule mlango mkuu kuingia? Wao kitu ambacho hawataki ni raia kupita kule kwenye michongoma wakikukamata lazima wakutese. Huwa hawataki watu kupita kule vichochoroni kwa kuogopa uhalifu.