hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Alikuwa ana haki ya kusema hayo " kwa sababu fans wake walikuwa wanataka kujua sababu iliyopelekea mahusiano yao kuyumba " wakati walikuwa ni brothers. .. so logic Yako ni ipi !!?huyo unayesema hana mpango na mtu ndio mwaka jana akiwa jukwaani gafla akaanza kulalamika kuwa jay z hajaenda kwenye harusi yake mara oooh jay z hataki watoto wao wahang out pamoja mara oooh mke wako hampendi mke wangu
unaikumbuka hyo show ya kanye west lakin? ambapo ndio ilipelekea jay z kumdiss kanye kwenye wimbo na kufichua mambo mengine kuhusu TIDAR ambayo hata yalikuwa hayajulikani