Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,561
- 16,339
kaaa hapa wewe unakimbilia wapiMna watoto wawili!,mmeishi miaka mitano!..nitarudi...
kaaa hapa wewe unakimbilia wapiMna watoto wawili!,mmeishi miaka mitano!..nitarudi...
Pumbavu! Eti nijibuni haraka????Mwanaume alimzalisha akiwa form two akaishi nae kiunyumba miezi 6 bila Mimi kujua (alinificha) Mimi nikabeba mzigo nikauzalisha nikaishi nao miaka mitano nimeambiwa na wengine kwamba aliishi na mwanaume miezi sita kabla ya Mimi kuishi nae miaka mitano nikamfukuza sasa ameomba msamaha anataka kurudi nimkubali au nimwache maana ana watoto wawili kwangu na kwa mtangulizi wangu nimuache au nioe nijibuni haraka nataka kufanya maamuzi
Huna ndugu wakakushauri hpo nyumbani maana kwa miaka mi5 walikuwa wakija,kosa lake ni lipi?we ulimwambia wanawake uliogegeda na kutelekeza kabla yake?Kama papuchi unaiona imekuchosa unataka mpya kwako ya zamani kwa wenzako muache tu,The less you know about your love patner the more happy you become!Mwanaume alimzalisha akiwa form two akaishi nae kiunyumba miezi 6 bila Mimi kujua (alinificha) Mimi nikabeba mzigo nikauzalisha nikaishi nao miaka mitano nimeambiwa na wengine kwamba aliishi na mwanaume miezi sita kabla ya Mimi kuishi nae miaka mitano nikamfukuza sasa ameomba msamaha anataka kurudi nimkubali au nimwache maana ana watoto wawili kwangu na kwa mtangulizi wangu nimuache au nioe nijibuni haraka nataka kufanya maamuzi