Kelvin X
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,940
- 2,402
nyerere alimwa mbia chief saruwati na mgombe mwenzake kutoka ccm kwamba atakae wahi kufika dodoma ndo atakua mbunge wa mbulu alafu baadae akampa mgombea wa ccm land rover ili awahi dodoma. wambulu wakachangishana na kuuza ngombe wakamkodia chief saruwati ndege ya mzungu. nyerere alipo mkuta saruwati asubuhi mlango wa ikulu ndogo ya dodoma hakuamini. saruwati akawa mbunge na nyerere hakuwahi kukanyaga mbulu tena. mafuriko haya zuiliki kwa mkono jamani