Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,209
- 99,959
Nikikutana nae, nawasha moto tu sijiulizi, sifa ya skari hakuna kugeuzia adui kisogo atakudhuruWapo wengi sana

Eh inaelekea umekutana nao nini mkuu???..... tunaomba ushuhuda kidogo tafadhaliMbona wapo wengi tu,
Tena Tz hii hii wazuriii, ngozi laini, saa sita kifuani, hawana ndevu wala sauti nzito, kasoro tu wana madushe hapo utachagua mwenyewe kusuka au kunyoa.
Sio Chai kama mnavyodhani.

Ni single movie?Ukipata mda angalia movie inaitwa secret society
Kumbe na wale watasaidikaje sasa mkuuUkitoka hapo unajinadi unachukia Ushoga....
Wabongo Unafki upo kwenye damu

0.5% ya messages ni zako unajaza tu server ndio maana app kila siku inastuck!
View attachment 2249760View attachment 2250636






Haha, mkuu nimecheka. Na wewe kumbe umenote..duh, aisee, Pole yake!! Anyway jf ina kila aina ya watu
Mkuu Dina, sitaki kuparuliwa tena asee😁Nimecheka
Nyie mi nimecheka tu comment zenu wote zinafurahishaMkuu Dina, sitaki kuparuliwa tena asee😁
Mumuacheni jamani 😂 😂 😂 duuuuh@Smart911
Jinsi anayo moja tuu ambayo ni uume!Ana jinsia mbili,mlingoti haufanyi kazi ila nyingine inafanya kazi. Mlingoti ni pambo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka na amdalasiniNzuri kabisaView attachment 2252651