Kibwagizo
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 130
- 8
Katika hali iliyowashangaza wengi kule Kirumba, Jamaa mmoja katika kijiwe cha kahawa mida ya saa 12:40 jamaa katika utani kajikuta anapelekwa Polisi na wana Cuf baada ya kutamka hivi ''wana CUF mna taarifa?,nasikia mgombea wenu kajitoa katika kinyang'anyiro''zikiwa zimebakia siku kama 4 za uchaguzi wa Udiwani kata ya Kirumba. My take: wana Cuf toka tuwe na mfumo wa vyama vingi hali kama hii imewatokea wao tu? Au ndo asila za awa jamaa. Nawasilisha na ninaomba ambaye yalishamtokea kama haya tusaidiane.