xavieen
Senior Member
- Jan 29, 2021
- 140
- 561
Wakuu habari,
Katika vitu vigumu katika biashara ni kufanya biashara uizoee na ikuzoee, pia ukiona biashara yako imesimama vizuri sana nina imani ni baada ya kipindi kirefu kupita
Katika biashara wengi huwa tunawahi kukata tamaa kwa kuwa tunaingia tukiwa na matarajio makubwa.
Walio wengi tunafeli biashara kwa sababu tunaendesha biashara kiamazoea.
Nimefungua duka juzi juzi kwa mtaji wa m3 ila tatizo wateja wanakuja wachache sana na location ipo sehemu nzuri tuu.
Siku ya kwanza niliuza tsh 1500
Siku ya pili 5000
Siku ya tatu 3800
Siku ya nne 11000
Siku ya tano 18000
Siku ya sita 4900
Siku ya saba (sikufungua)
Siku ya nane (sikufungua)
Jana nimefungua nimeuza 15000
Kabla sijaanza niliambiwa kwa siku 70k-100k itakuwa ni ya kufikia.
KWA UPANDE WAKO WAKATI UNANZISHA BIASHARA HALI ILIKUWAJE ULIENDELEA AU ULIFUNGA.
Katika vitu vigumu katika biashara ni kufanya biashara uizoee na ikuzoee, pia ukiona biashara yako imesimama vizuri sana nina imani ni baada ya kipindi kirefu kupita
Katika biashara wengi huwa tunawahi kukata tamaa kwa kuwa tunaingia tukiwa na matarajio makubwa.
Walio wengi tunafeli biashara kwa sababu tunaendesha biashara kiamazoea.
Nimefungua duka juzi juzi kwa mtaji wa m3 ila tatizo wateja wanakuja wachache sana na location ipo sehemu nzuri tuu.
Siku ya kwanza niliuza tsh 1500

Siku ya pili 5000
Siku ya tatu 3800
Siku ya nne 11000
Siku ya tano 18000
Siku ya sita 4900
Siku ya saba (sikufungua)
Siku ya nane (sikufungua)
Jana nimefungua nimeuza 15000
Kabla sijaanza niliambiwa kwa siku 70k-100k itakuwa ni ya kufikia.
KWA UPANDE WAKO WAKATI UNANZISHA BIASHARA HALI ILIKUWAJE ULIENDELEA AU ULIFUNGA.
