Kipindi cha TBC aridhio wamejitahidi sana

Kipindi cha TBC aridhio wamejitahidi sana

Wamejitahidi kuboresha lakini ingependeza waboreshe vipindi vyote waachane na vipindi vya kina MC Pilipili
 
wapanue studio ipo Kama ka korido au vile vibanda vya kutolea hela,wageni wamekaa wamening'inia hamna hata ka coffee table
 
Nipo naangalia hapa nimeshangaa kuona mabadiliko makubwa kiasi hiki
 
Huo ni ubaguzi..... Wewe kwani meupe looolll
Basi hata wewe ni mzuri ukitembea Kama unanesa kimadoido mpk huwa nahisi taarifa za korona ni uongo kwa mwendo wako tu😜
Hazina zako kwenye mwili wako si tu nikivutio bali ni kivutio Cha kitalii!! Haswa napenda tabasam lako kama la mtoto mchanga! Cheko lako tu linatosha kuombea mkopo benki ya dunia..

Na kuanzia leo naacha ubaguzi😉
 
yan kifurush changu cha dstv kimekata..nimebakiwa na TBC tu..nikaamua ngoja leo niingoe nione kuna nn kwenye hicho kipind chao...da...hamna kitu..pmj na kuzindua studio mpya lkn picha bado mbovu vilevile..nilichoamua n kuzima Tv tu nisubirie lig zianze nilipie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TBC ilikuwa ya Tido Mhando, huyu Dr. Ryoba mwanzoni akiwa chuo kikuu nilikuwa namkubali sana. Baada ya kuingia TBC ameiua kabisa na uweledi hakuna tena. Wanashinda kutwa nzima wanasifia magufuli na CCM hadi inatia kinyaa.

HII TV WAACHIWE WASTAAFU WAANGALIE. ILA KIJANA ANAYEJITAMBUA NA ANAYETAKA KUPATA HABARI ZA KWELI AMBAZO ZIKO BALANCED BILA UPENDELEO WA KISIASA HAWEZI KUANGALIA TBCCM
 
wamejitahidi sana,pongezi za dhati ziende kwa mbunifu wa kipindi hicho marehemu Marin Hassan
 
Kuna jamaa pale anatangaza mambo za kiswahili mweuoe hivi jina sikumbuki sawasawa. Ana akili ndogo sana yule hata sijui walimuokota wapi
Wanapima upepo tu hawa, eti huduma ya kahawa uifuate 10km [emoji15][emoji848] hakuna cha aridhio wala azimio... vipindi pendwa ni kishindo cha awamu na tunatekeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo na mimi nimeangalia TBC aridhio. Mtangazaji Elizabeth Mramba anependeza mnoooooooo
 
Nadhani Elizabeth mramba ndo mrembo tbc yote ni kazuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom