Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,393
- 2,359
Kwa kodi za wa*inga
Kwa kodi za wa*inga
Lilimfukuzisha mwenzake Barwan Muhuza! Halifai, hilo jamaa!
Unahitaji moyo mgumu kama wa Al Shabaab kuangalia TBC. As long as hawawezi kukosa Serikali kama wakati wa Tido Muhando it remains to be trash, takataka tuLeo mida ya jioni nimeondoka na jamaa angu kwenda kupata huduma sehemu umbali wa Kama km10 hivi na usafiri wetu ukiwa ni pikipiki. Kwa bahati mbaya baada ya kufika tu mwisho wa Safari yetu, mvua kubwa ikaanza kunyesha na kupelekea mafuriko makubwa. Ikabidi mwenyeji wetu atupe hifadhi maana njia haipitiki tena.
Akatupeleka kwa mzee wake tukamkuta mzee ameketi yupo makini kweli kweli akifuatilia tbc aridhio nasi tukaungana nae kutazama.kwa mtizamo wangu naona wamekuja vizuri na wameonesha creativity na utofauti Kama shirika la uma ila mzee baba Gabriel Zacharia alikuwa anazidisha mbwembwe mpaka anaharibu but so far wamekuja vizuri.
Ubora wa picha, uchambuzi na mtiririko wa maudhui some how wamejitahidi.Karibu kwa mwingine aliyekishuhudia kipindi hiki utupe mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana hawakuwa na hayo mambo.Tatzo tbc kila baada ya dk tano utasikia tunamshukuru rais wetu.......
Hapo tu ndio wanaponishinda
Si wanataka mzoee kwasababu taarifa zao hamuangalii.Jana hawakuwa na hayo mambo.
Hiyo ni TV serikali haiwezi kukosoa serikalishida nikuwa huwa hawawezi kukosoa serikali au mifumo hata kama IPP dhahiri ,husubiri kiongoI mkuu akosoe ama atumbue nao huanza kuchambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliuliza swali zuri tu bahati mbaya au kwa makusudi waziri na msemaji wa serikali hawakujibu
Jana kwa bahati mbaya nilijipitisha kwenye channel ndani ya DSTV, Lo! ni haina tofauti na DTV 1995.Siangaliagi TBC Mimi!
Wafanyakazi wa TBC 1 utawajua tu!Yaaap, nami Jana nilikuwa mubashara at home nacheck mapigo ya Ardhio, mpaka ile anaingia waziri mwenye dhamana.
Obvious wamejitahidi sana ila hebu nimpe jongera yake Gabriel Zachariah, Jamaa ni fundi kwa uchambuzi na maswali pia..
Tutegemee mazuri zaidi pindi tu maboresho zaidi yatakavyokamilika hapo majira ya kiangazi..
Nasikia TBC utakuwa kama BBC
Ni taarifa ya habari kipindi kimefanyiwa maboreshoMkuu weka nyama kidogo kwenye maelezo hiki kipindi kinahusu nini - siasa, michezo au?