Je Kuna Citizen TV ya Kenya kule Tanzania? (Mi ni Mkenya.) Ikiwa kunayo, kuna kipindi ambacho kilijulikana kama "Moyo" kilichokuwa kikija Jumatano (Saa Moja unusu usiku,) na marudio yake saa kumi na Moja jioni (Jumapili.)
Kuna kipindi kingine kitaanza Jumatano hii kinachoitwa "Aziza" amabcho natumai kitakuwa kizuri kama Moyo. Ikiwa we ni mpenda Drama basi karibu.
Kuna kipindi kingine kitaanza Jumatano hii kinachoitwa "Aziza" amabcho natumai kitakuwa kizuri kama Moyo. Ikiwa we ni mpenda Drama basi karibu.