PART 1jamani hakuna aliye record atu-link na youtube?
Hawa Itv vipi?Siku nzima wamekuwa wakitudanganya wasikilizaji wao kuwa watarudia mdahalo saa 4.45 usiku.Sasa wanaomba radhi ati mdahalo hautarudiwa leo,bila hata ya kutoa sababu na bila hata ya kueleza ni lini watarudia kama walivyosema awali.
Nina wasiwasi mkubwa na kinachoendelea hapa,there's somethin fishy.It's not a technical issue,It's a political stake.
Kina makamba wamefanya juhudi zote kitu kisirudiwe maana wanajua moto wake!
Kitaeleweka tu,...No turning back!
wanaogopa bure hawa itv! hawawezi kunyang'anywa leseni na chama cha upinzani....chichiem kitakuwa chama pinzani kuanzia 01112010. chama tawala i mean CHADEMA watasimamia haki na uadilifu hivyo mtu anayetenda haki na anatangaza matangazo yake kwa haki hatafungiwa na chombo chochote chini ya serikali mpya.......Kwani wao hawajipendi hadi waseme ni nani aliyekataza mahojiano na Rais Mtarajiwa kutorudiwa? Inajulikana wazi ni nani, hao ITV wameshatishiwa labda wanaweza kunyang'anywa leseni yao kama wakiyarudia.Tuwape kazi nzito ya kuiba kura kwa kuwapigia wabunge wa chadema na Rais Mtarajiwa kwa kishindo