autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 364
TV1 inakuja kwa kasi
Nimependa kipindi chao kipya cha BOYS BOYS kinachoendeshwa na Mwisho Mwampamba.
Mpangilio wa studio, mada zao, host yuko charming , fun & on topic.
Wana min bar na vinywaji vya kweli sio mapambo kama vile vya FNL.
Idea ni nzuri.
Nimependa kipindi chao kipya cha BOYS BOYS kinachoendeshwa na Mwisho Mwampamba.
Mpangilio wa studio, mada zao, host yuko charming , fun & on topic.
Wana min bar na vinywaji vya kweli sio mapambo kama vile vya FNL.
Idea ni nzuri.