snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,709
- 23,644
Hivi kama mtu unataka kumgundua mpenzi wako kuwa ametoka kukucheat a day before hamjakutana au the same day mmekutana kimapenzi ni mambo gani ya msingi yanaweza kukufikisha kuibua ukweli huo hasa pale muwapo kwenye majambozi?
halua halua tu kaka!utapewa maujanja yna kumjua mwanamke aliyetoka kwenye mchakato hapa, af ukutane na watoto wa daslam wamekuwekea sharbu utarudi humu jamvini utangaze kadi za michango!