yan we mpaka leo hujui na bado unafanya tu.it cn tek two wiks lakn vpmo vpya vya kisasa ni 48 hrz
habari zenu wanandugu,
hivi katika kupima,baada ya kufanya tendo la ndoa inachukua muda gani mpaka kipimo kigundue kuwa damu yako imeathirika(HIV positive).
uligonga kavu eee!habari zenu wanandugu,
hivi katika kupima,baada ya kufanya tendo la ndoa inachukua muda gani mpaka kipimo kigundue kuwa damu yako imeathirika(hiv positive).
Acha uzembe we kupenda laini,.....! But 2 to 3 weeks.
yan we mpaka leo hujui na bado unafanya tu.it cn tek two wiks lakn vpmo vpya vya kisasa ni 48 hrz
Pole sana mkuu, yaonekana meli imegonga mwamba mahali nini? Huwa tunaambiwa ni miezi 3 nadhani ujipe huo muda kujiridhisha kabisa