kipimajoto cha ITV ovyo sana....
wanatoa asilimia za ndiyo, hapana na sijui lakini hawaonyeshi idadi halisi ya watu waliopiga hizo kura???
Mfano:
Inawezakana asilimia 80% ya ndiyo ni SMS za watu nane (8) tu & asilimia 20% ya hapana ni watu wawili (2) .......
Je watu 10 wanawezi wakilisha watu milioni 40........
Swali lipo hivi
"Kambi rasmi ya upinzani kususia mjadala wa katiba, je ni suluhisho?"
Ndio, ni suluhisho mbadala kabisa.. Natabiri MATOKEO :NDIYO 70% , HAPANA23%, SIJUI 7%.