Taratib gani kama watu walikua tayar kutumia madaraka kuwaua,kuwadhulumu,kuvunja amani,kula rushwa wakat wananch wakikosa ata mlo wa siku moja hakuna namna wacha wavune walichopandaHuu ni unyama! Wafuate taratibu! johnthebaptist
Ligogoma, umeshasahau maiti za Coco beach, azory, Ben saanane, Lisu 38, umesahau unasema tuko kwenye raiti taraka? Kweli mapenzi ni kipofu! Jiwe must be accountable!Kama sijakosea unamaanisha 'hii'! Nina mtizamo tofauti mkuu, serikali hii wa kwanza kupigwa mawe ni "wasomi" wanaojiita mapro-pesa wanao-challenge serikali wakiwa nje then wakigaiwa keki kidogo tu wanayakana maneno yao!
Mapro-pesa waliokana elimu zao kwa kuendekeza njaa na kufanywa viroja mbele ya jamii, hao ndio nina hasira nao!
Jiwe katufunua sana kuhusu wasomi wetu kwa kuwapachika vyeo na tumewaona wanavyojikataa. Tanzania haina wasomi!!
Hawa wengine watatoka kwa mujibu wa katiba, kila utawala na zama zake!! Huyu sera yake iko hivyo, lazima tukubaliane nae mwisho wa siku nae ataondoka! Atakuna mlaini kama JK nae tutakwenda nae sawa tu!! Hakuna shida
Labda ibadilishwe katiba tuongozwe nae milele hapo kuanzia yeye na wafuasi wake tutawachoma moto!! Kwa sasa tupo kwenye raiti traki!!
Nilichodanganya ni kipi?Mleta mada kama umetudangaja........Jua jamaa hata kama katolewa ila bado anawatu wake waliobak serikalin na bado baadhi ya viongoz jeshin wanamuunga mkono so hawawez kumwacha hadharan hivi na hali ikikaa vibaya tunaweza sikia jeshi kugawanyika na vita vikaanza. Baina ya wanajesh wanaomuunga mkono bashiru na wale walio upande wa wananchi
Ligogoma, umeshasahau maiti za Coco beach, azory, Ben saanane, Lisu 38, umesahau unasema tuko kwenye raiti taraka? Kweli mapenzi ni kipofu! Jiwe must be accountable!
Hata mimi nimeshangaa kwakweliHao jamaa ni wapuuzi yani pamoja na pesa zote walizopiga bado hawajakimbia nchi bado wanang'ang'ania humo humo watauwawa kweli