Dah mkuu! niliwahi kwenda kibiashara maeneo unayoyataja Sikumbuki kama tukio lile ni la miaka miwili iliyopita naona kama mitatu vile, ni kweli hilo tukio lilinikuta nikiwa huko walihusika baadhi ya wanajeshi na mgambo. Mi nilifikiri kuna hatua zilichukuliwa kumbe ni Ruksa askari kubaka! Lakini kuna mkoa mwingine nako nilikutana na tukio kama hilo. Ndio nchi yetu hiyo tusubiri siku tu!