Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,353
- 5,950
Safi sana Algeria kwa kipigo cha mbwa koko dhidi ya Niger, mmepiga pira la kiume mammae kama kawaida yenu, mpira mnaujuwa adi mnakera 😄,, hawa washkaji wanapiga soka acha kabisa bandugu, wanacheza kwa akili nyingi na kwa ushirikiano, unaweza sema hawaishi afrika hawa njemba. Soka lao lakipekee haswaa na linavutia unatamani mpira usiishe harakaa. So, endeleeni kushusha kipigo, kwani ninyi ndiyo wawakilishi we2 world cup nchini Qatar. Hivyoo mctuangushe wakubwa zenu tunawategemea. Tunaiombea mafanikio mema Taifa stars tufikie angalau nusu ya hawaa wanaume wa Afrika ya kaskazini, siyo kanda ya kaskazini kwa wachagga jamani mcninukuu vibaya bandugu.
Mungu ibariki Tanzania.
Asanteni bandugu.
Mungu ibariki Tanzania.
Asanteni bandugu.