Kipigo cha Dimani na Udiwani chawachanganya Mbowe, Lowassa na Sumaye

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa CHADEMA wamechanganyikiwa, wamevurugwa na wanahema. Haki ya nani sijapata kuona wakubwa hawa wakivurugwa kama sasa. Yaani hata kile kipigo cha uchaguzi Mkuu kilikuwa afadhali. Hiki cha sasa ni kama kipigo cha mbwa mwizi au panya road.

Tangu uchaguzi mdogo umalizike, Lowasa, Mbowe na Sumaye wamejificha kusikojulikana. Wamemwachia Tundu Lissu Lissu awafariji wapenzi, wanachama na wafuasi wa CHADEMA waliokata tamaa. Pamoja na viongozi hao na safu nzima ya CHADEMA kuweka kambi kwenye kata hasa za Kanda ya Ziwa, maskini hawa wababa wameambulia patupu. Pamoja na jitihada zote za kumchonganisha Rais kwa wananchi, hatimaye wananchi wakaamua kuipigia kura CCM na kuwakataa Lowasa, Mbowe Sumaye na genge lao.

Hizi si dalili njema kwa wapinzani. Kama wameshindwa kipindi hiki ambapo nchi imekumbwa kwenye mitikisiko kama kupanda kwa bei ya mahindi, ukame, tetemeko la Kagera, nk, sitarajii kuona CHADEMA wakifufuka kisiasa. Bado wanaamini kuwa 2020 watashinda? Thubutu!

Wafuasi wao mitandaoni wamesambaratika kabisa. Afadhali hapa JF. Kule kwingine kama facebook yaani wamechapika ile mbaya. Wengine hawajapost chochote tangu Januari 22 saa nne Usiku walipopata taarifa rasmi kuwa wamechapika.

Niwasihi wale mavuvuzela wanaojiita UKAWA. Tulieni. Magufuli bado hajafanya siasa. Kwa sasa yupo busy kuwatumikia Watanzania. Nyie endeleeni kufanya siasa uchwara ambazo mwisho wa siku zinakuja kuwagharimu.

Bye bye CHADEMA.

Bye bye LOWASA, MBOWE na SUMAYE
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa CHADEMA wamechanganyikiwa, wamevurugwa na wanahema. Haki ya nani sijapata kuona wakubwa hawa wakivurugwa kama sasa. Yaani hata kile kipigo cha uchaguzi Mkuu kilikuwa afadhali. Hiki cha sasa ni kama kipigo cha mbwa mwizi au panya road.

Tangu uchaguzi mdogo umalizike, Lowasa, Mbowe na Sumaye wamejificha kusikojulikana. Wamemwachia Tundu Lissu Lissu awafariji wapenzi, wanachama na wafuasi wa CHADEMA waliokata tamaa. Pamoja na viongozi hao na safu nzima ya CHADEMA kuweka kambi kwenye kata hasa za Kanda ya Ziwa, maskini hawa wababa wameambulia patupu. Pamoja na jitihada zote za kumchonganisha Rais kwa wananchi, hatimaye wananchi wakaamua kuipigia kura CCM na kuwakataa Lowasa, Mbowe Sumaye na genge lao.

Hizi si dalili njema kwa wapinzani. Kama wameshindwa kipindi hiki ambapo nchi imekumbwa kwenye mitikisiko kama kupanda kwa bei ya mahindi, ukame, tetemeko la Kagera, nk, sitarajii kuona CHADEMA wakifufuka kisiasa. Bado wanaamini kuwa 2020 watashinda? Thubutu!

Wafuasi wao mitandaoni wamesambaratika kabisa. Afadhali hapa JF. Kule kwingine kama facebook yaani wamechapika ile mbaya. Wengine hawajapost chochote tangu Januari 22 saa nne Usiku walipopata taarifa rasmi kuwa wamechapika.

Niwasihi wale mavuvuzela wanaojiita UKAWA. Tulieni. Magufuli bado hajafanya siasa. Kwa sasa yupo busy kuwatumikia Watanzania. Nyie endeleeni kufanya siasa uchwara ambazo mwisho wa siku zinakuja kuwagharimu.

Bye bye CHADEMA.

Bye bye LOWASA, MBOWE na SUMAYE

Siku Tanzania ikipata katiba ya wananchi, utajua kaburi la ccm lilishajaa takataka linatakiwa kusafishwa kabla ya maziko

Haya bye bye CHaDEMA. Ruhusuni sasa mikutano ya siasa, katiba ya warioba na tume huru ya uchaguzi. Hamna cha kuogopa tena. Tangazeni sasa michakato sahihi kwa sababu hakuna CHADEMA tena. Ni ccm tu kote. N awananchi wanaikubali kiaina na hakuna upinzani tena.

Sawa bk7?
 
Naona baada ya mama kurudishwa bungeni ndo umeamka Mtt mkubwa.

Ni uwendawazimu kujiona mmeshinda huku mkitumia dola, mnafanya kampeni huku upinzani mkiwaziba midomo, tume yakwenu, mtangaza matokeo wenu
Dola ni yetu ndugu. Wacha tuitumie kuwaadhibu.
 
nyiemmetetea viti vyenu wenyew mnapigankelele mmeshinda....................lumumbamnamatatizo sana
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa CHADEMA wamechanganyikiwa, wamevurugwa na wanahema. Haki ya nani sijapata kuona wakubwa hawa wakivurugwa kama sasa. Yaani hata kile kipigo cha uchaguzi Mkuu kilikuwa afadhali. Hiki cha sasa ni kama kipigo cha mbwa mwizi au panya road.

Tangu uchaguzi mdogo umalizike, Lowasa, Mbowe na Sumaye wamejificha kusikojulikana. Wamemwachia Tundu Lissu Lissu awafariji wapenzi, wanachama na wafuasi wa CHADEMA waliokata tamaa. Pamoja na viongozi hao na safu nzima ya CHADEMA kuweka kambi kwenye kata hasa za Kanda ya Ziwa, maskini hawa wababa wameambulia patupu. Pamoja na jitihada zote za kumchonganisha Rais kwa wananchi, hatimaye wananchi wakaamua kuipigia kura CCM na kuwakataa Lowasa, Mbowe Sumaye na genge lao.

Hizi si dalili njema kwa wapinzani. Kama wameshindwa kipindi hiki ambapo nchi imekumbwa kwenye mitikisiko kama kupanda kwa bei ya mahindi, ukame, tetemeko la Kagera, nk, sitarajii kuona CHADEMA wakifufuka kisiasa. Bado wanaamini kuwa 2020 watashinda? Thubutu!

Wafuasi wao mitandaoni wamesambaratika kabisa. Afadhali hapa JF. Kule kwingine kama facebook yaani wamechapika ile mbaya. Wengine hawajapost chochote tangu Januari 22 saa nne Usiku walipopata taarifa rasmi kuwa wamechapika.

Niwasihi wale mavuvuzela wanaojiita UKAWA. Tulieni. Magufuli bado hajafanya siasa. Kwa sasa yupo busy kuwatumikia Watanzania. Nyie endeleeni kufanya siasa uchwara ambazo mwisho wa siku zinakuja kuwagharimu.

Bye bye CHADEMA.

Bye bye LOWASA, MBOWE na SUMAYE
weziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwa akili ya kawaida tu. Walio simamia uchaguzi huu ni makada wa ccm (Wakuu wa Mikoa na Wilaya), wakiamrisha genge la polisi ngazi zote kuhakikisha CDM wanaondolewa vituoni na hata kulipo pigwa kura watu kumi lazima vitabu vionyeshe watu mia kupiga na sio kupiga tu bali kuipigia ccm, ni ktk Uwezo upi hawa wapinzani wangekiweza chama changu tukufu?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa CHADEMA wamechanganyikiwa, wamevurugwa na wanahema. Haki ya nani sijapata kuona wakubwa hawa wakivurugwa kama sasa. Yaani hata kile kipigo cha uchaguzi Mkuu kilikuwa afadhali. Hiki cha sasa ni kama kipigo cha mbwa mwizi au panya road.

Tangu uchaguzi mdogo umalizike, Lowasa, Mbowe na Sumaye wamejificha kusikojulikana. Wamemwachia Tundu Lissu Lissu awafariji wapenzi, wanachama na wafuasi wa CHADEMA waliokata tamaa. Pamoja na viongozi hao na safu nzima ya CHADEMA kuweka kambi kwenye kata hasa za Kanda ya Ziwa, maskini hawa wababa wameambulia patupu. Pamoja na jitihada zote za kumchonganisha Rais kwa wananchi, hatimaye wananchi wakaamua kuipigia kura CCM na kuwakataa Lowasa, Mbowe Sumaye na genge lao.

Hizi si dalili njema kwa wapinzani. Kama wameshindwa kipindi hiki ambapo nchi imekumbwa kwenye mitikisiko kama kupanda kwa bei ya mahindi, ukame, tetemeko la Kagera, nk, sitarajii kuona CHADEMA wakifufuka kisiasa. Bado wanaamini kuwa 2020 watashinda? Thubutu!

Wafuasi wao mitandaoni wamesambaratika kabisa. Afadhali hapa JF. Kule kwingine kama facebook yaani wamechapika ile mbaya. Wengine hawajapost chochote tangu Januari 22 saa nne Usiku walipopata taarifa rasmi kuwa wamechapika.

Niwasihi wale mavuvuzela wanaojiita UKAWA. Tulieni. Magufuli bado hajafanya siasa. Kwa sasa yupo busy kuwatumikia Watanzania. Nyie endeleeni kufanya siasa uchwara ambazo mwisho wa siku zinakuja kuwagharimu.

Bye bye CHADEMA.

Bye bye LOWASA, MBOWE na SUMAYE





 
nyiemmetetea viti vyenu wenyew mnapigankelele mmeshinda....................lumumbamnamatatizo sana
Tumenyakua pia na kiti kimoja cha CUF, na UKAWA. Nyie mmeshinda wapi zaidi ya kule kwenu?
 
Mmetetea viti vyenu alafu kelele kibao !! Wekeni tume huru pawepo na fair ground
 
Walizoea kuwapa pesa wapiga kura sasa hivi hata wajieleze vipi wananchi hawawaelewi, wanataka pesa tu.Wengi waNA UKAWA hawakujitokeza kupiga kura sababu kila moja akiuliza mwenzie vipi kuna chochote kama uchaguzi uliopita anaambiwa hakuna WAMEKUJA MIKONO MITUPU NA POROJO TU za chagua UKAWA!!! UKAWA wengi wakasema hatuendi kupiga kura.Wamesuswa

Kampeni za pesa matokeo yake ndiyo hayo!!! na bado wasubiri 2020 watakiona cha mtema kuni.

Yale maburungutu waliyokuwa wakigawa KABLA YA uchaguzi 2015 wapiga kura wao wa UKAWA bado wanayaota!!! kama 2020 watakuwa hawana MABURUNGUTU ya kuwapa wajiandae kushindwa chaguzi kila kona! Wapiga kura wa UKAWA wengi ni akina hapendwi mtu ni pochi tu.
 
Back
Top Bottom