MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,606
- 11,820
Udemy, CodeCanyon, Treehouse zote ni Online
Unesha - onyeshaSasa unataka kusoma IT wakati hata kuandika kwenyewe shida? upo mkoa gani wewe? na kiwango chako cha elimu ni kipi? unapoomba msaada unesha kweli kwamba unaomba msaada na unajitambuwa, kila chuo kina sifa na daraja lake sasa usipojieleza tukusaidiaje?
Naomba unsaidie kunpa details za chuo bora kksidhani kama mtoa uzi umepata jibu sahihi..WOOTE waliokoment wameleta mapenzi hapa juu ya vyuo vyao...
Nilitegemea FACTUAL information maana the information needed ilkuwa ni technological...
Hapo poote umedanganywa..kuna wengne wamesema udsm..inshort udsm hawana IT bali CS sasa utakuwa umeelewa uongo wa wana JAMVI unaloliamini
Kazi rahisi kabisa duniani ni kukosoa, huyo anachojuwa ni kujambajamba tu na kinyesi chake matakoni.Naomba unsaidie kunpa details za chuo bora kk
Liangalieni hili choko.Unajifanya unajua kukosoa sama... " kujitambuwa" ndo kufanya nini?
Ujinga huu, mtu akiuliza anataka kusoma English kozi tutamwambia aende British council, acha kuishi kwa kukalili, kusema mji mkuu wa Kenya ni Nairobi siyo ushabiki bali ndio ukweli.Ubora wa chuo unathibitika kwenye utendaji kazi wa wahitimu wake mkuu na hilo ni suala la research ya kina. Na ubora wa mhitimu binafsi unatokana na kujituma, ari ya kujifunza na kutambua anafanya nini regardless yupo chuo gani. Hapa hutapata jibu, kila mtu atataka akisifu chuo alichosoma/anachosoma.
Kati yangu na ww nani anakariri mdogo wangu? (I can guess umri wako kwa kiwango cha busara ulichonacho).Ujinga huu, mtu akiuliza anataka kusoma English kozi tutamwambia aende British council, acha kuishi kwa kukalili, kusema mji mkuu wa Kenya ni Nairobi siyo ushabiki bali ndio ukweli.
Unaona ulivyo mjinga? anayezungumza kingereza fasaha hapa duniani ni Muingereza tu, wala siyo mscotish.Kati yangu na ww nani anakariri mdogo wangu? (I can guess umri wako kwa kiwango cha busara ulichonacho).
Wote wanaozungumza kiingereza fasaha baada ya kupitia course walipita British Council?
Mkuu hapo kwenye 'onesha' jamaa yupo sahihi wewe ndo umebugiUnesha - onyesha
Unajitambuwa - unajitambua
Onyesha = onesha. Div 5 wote ninyi.Unesha - onyesha
Unajitambuwa - unajitambua
Alisema Unesha sio Onesha.Mkuu hapo kwenye 'onesha' jamaa yupo sahihi wewe ndo umebugi