Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 625
Habari zenu wadau,
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Hivi hapa Jijini Dar es salaam nini haswa chanzo cha foleni katika barabara zetu kati ya taa za barabarani au traffic?
Je, trafiki ni chanzo, maana wanasimama mpaka kwenye roundabout, barabara za mitaani pamoja na kwenye maeneo mengine.
Hivi kwani vipi wakiachia taa zifanye kazi yake maana taa zimedizainiwa kuruhusu magari kwa muda maalum kila upande bila kuongeza ama kupunguza muda.
Toa maoni yako maana yako
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Hivi hapa Jijini Dar es salaam nini haswa chanzo cha foleni katika barabara zetu kati ya taa za barabarani au traffic?
Je, trafiki ni chanzo, maana wanasimama mpaka kwenye roundabout, barabara za mitaani pamoja na kwenye maeneo mengine.
Hivi kwani vipi wakiachia taa zifanye kazi yake maana taa zimedizainiwa kuruhusu magari kwa muda maalum kila upande bila kuongeza ama kupunguza muda.
Toa maoni yako maana yako