Kipi kinauma zaidi

Kipi kinauma zaidi

mavyombo

Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
82
Reaction score
6
Naomba kujuzwa kipi kinacho uma zaidi kufiwa na mke/mume au kumfumainia mke/mume akizini ?
 
kinachouma zaidi ni pale anapokufa kwasababu hutamwona tena. ukimfumania ki2 haifutiki unaweza bado kugonga kama una moyo, imani na uvumilivu (umesahau ya bill Clinton na zele...)
 
Wewe binafsi hayo yakikitokea lipi unaona ni nafuu, maana kila mtu anajua anavolichukulia uzito jambo linalomfika
 
kufiwa is something else ati,imagine mtu hutomwona tena!ohooo sikilizia kwa jirani yasikukute
 
Kumfumania inauma sana kuliko kufiwa, kwa sababu kifo ni natural halaf hakukusudia afe so ukifikiria hivyo kidogo unaweza kupoa, lakini kufumania noma, tena mbaya unakutana na mwanamke kiburi anakujibu AMUA unachotaka, yaani ni dharau kiasi gani hiyo, na ndio maana wengine wanaua wanaona bora wapate maumivu ya kufiwa kuliko kuendelea kupata maumivu ya kufumania
 
Kufiwa noma hakuna second chance
 
Pole sana, kama mwenzako hukumtoa bikra wewe, ujue ulishamfunania kwa maneno mengine,
 
watu bana sa unafananishaje mauti na hivyo vitendo vya kujitakia binadam
 
kupitiwa kunauma bana...yaani yale mambo nilijokuwa napata mie njemba nae anapewa...
 
tutazungumza hapa tukiwa na hofu ya kifo kimaumivu kufumania nikubaya sana ndio maana watu huua na au kujiua,lakini kufiwa utalia na kuishia kugalagala.hata hivyo kila jambo hutegemea na uzito wa mpokea jambo anavyokabili.
 
Back
Top Bottom