Kipi kinalipa, kusomea urubani au uengineer wa ndege

Kipi kinalipa, kusomea urubani au uengineer wa ndege

rechungura1

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
387
Reaction score
130
Habar wana JF tangu utoton nina dream ya kusomea fan tajwa hapo juu.

Naombeni mnidadavulie ipi inalipa zaidi kwa kuajiriwa au kujiajiri.
 
Hapo sawa lazaroj.
Hicho chuo kipo wapi kwa hapa karibu africa na kiwe reputable
 
Back
Top Bottom