kipi kinaanza

kipi kinaanza

thinky

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
2,121
Reaction score
267
je ni ubongo unafikiri kama unaakili? au unafikiri unaubongo wenye akili au unaakili inayokufanya ujue unafikiria unaubongo na nini kilifikiria kikakufanya ufikiri unachofikiria ?
 
kwani kuna tofauti gani kati ya ubongo na akili, au kitu kile lile majina tofauti?, au kimoja kipo ndani ya kingne
 
kwani kuna tofauti gani kati ya ubongo na akili, au kitu kile lile majina tofauti?, au kimoja kipo ndani ya kingne

Akili ni kitu cha kufikirika ubongo unaonekana na kushikika.
 
je ni ubongo unafikiri kama unaakili? au unafikiri unaubongo wenye akili au unaakili inayokufanya ujue unafikiria unaubongo na nini kilifikiria kikakufanya ufikiri unachofikiria ?
kwani we ulifikiri nini mpaka ukafikiria hiki ulichokifikiri na kukiandika hapa..??
 
Huwezi kutenganisha akili na ubongo, vinafanya kazi kwa pamoja na vinategemeana.
Ubongo unavyofanya kazi yale matokeo yake ndio yanaonyesha kiwango cha ufanisi wa cha mtu (Akili).

Watu wawili wanaweza kuwa na kiwango sawa cha umbile la ubongo lakini wakawa na kiwango tofauti cha ufanisi wa utendaji kazi wa bongo zao (Akili)

utafiti kaelezea kwa kifupi na mfano rehisi kabisa wa software na hardware.
 
samaritan kama mimi extra bright afu nafanya vitu tofauti kwa makusudi katika ufanisi mdogo utasema operating system ipo slow kwa kipimo kipi
 
nilifikiri kuna mtu atafikiri nilichojaribu kufikiri

Sasa kwa nini ulijaribu kufikiri badala kuamua kufikiri kabisa..hukufikiria kuwa kujaribu kwako kufikiri kunaweza kutufanya tufikiri kuwa hukufikiria hata hicho ulichotaka kujaribu kufikiri...??
 
Ubongo ni material ambayo ndani yake kuna
1.Akili,
2.Ufahamu,
3.Utambuzi,
4.Maarifa,
5.Ujuzi,
Ukimtoa binadamu wanyama wengine waliobaki wao wana ubongo na utambuzi tu basi.
 
Back
Top Bottom