kipi kinaanza

kipi kinaanza

samaritan kama mimi extra bright afu nafanya vitu tofauti kwa makusudi katika ufanisi mdogo utasema operating system ipo slow kwa kipimo kipi

Hata hiyo kuamua kufanya kwa makusudi ndio ubright wenyewe. Kunamwenzako hicho ambacho wewe unafanya kwa makusudi yeye ndio kiwango cha mwisho cha juu kabisa.
 
Sasa kwa nini ulijaribu kufikiri badala kuamua kufikiri kabisa..hukufikiria kuwa kujaribu kwako kufikiri kunaweza kutufanya tufikiri kuwa hukufikiria hata hicho ulichotaka kujaribu kufikiri...??

nilijaribu kufikiria mana nisingejua wewe unafikiri nini mana hata ulivyofikiria sivyo ndivyo nilivyofikiri mana ukiwa unafikiri unachojaribu kufikiri hapo umefikiri kwanini useme sikufikiria hicho nilichojaribu kufikiri?
 
Hata hiyo kuamua kufanya kwa makusudi ndio ubright wenyewe. Kunamwenzako hicho ambacho wewe unafanya kwa makusudi yeye ndio kiwango cha mwisho cha juu kabisa.

akipanda gari mi natembea kwa mguu akiwahi mi nachelewa akipata 80 mi napata 40 kwa makusudi na naweza kumoversmart vyote je kipimo gani yeye ametumia kujua am that stupid japo mkuu nimeielewa sana quote yako
 
akipanda gari mi natembea kwa mguu akiwahi mi nachelewa akipata 80 mi napata 40 kwa makusudi na naweza kumoversmart vyote je kipimo gani yeye ametumia kujua am that stupid japo mkuu nimeielewa sana quote yako

Ha ha haaa, unafikiri kupata 40 darasani wakati una uwezo wa kupata 80 au zaidi ni kitu kidogo? lazima uwe smart hasa.
Inategemea lengo lako ni kitu gani? Na kwa kuwa hauwezi ku pretend vitu vyote, kuna vitu utafanya vizuri sana na vingine ufanisi wako utashangaza kwa kutofanya vizuri kitu kitakachoanza kuweka mashaka kwamba unafanya makusudi. Japo sidhani kama nimekuelewa unachomanisha.
 
samaritan naomba nielewe am so smart sawa na nakiuka all my morals na kujiweka mfumo wa ignorant na kwasababu am bright huo mfumo unakuwa katika highest point je external enviroment wanatumia kipimo kipi kujua am ignorant while am not watasemaje juu ya akili yangu kwa kutumia kipimo gani
 
ubongo ni more complex than a computer
 
Back
Top Bottom