Kipi bora? Na utamuwazia nini?

Kipi bora? Na utamuwazia nini?

babu eeeeeh! mbona umeniandama ivooo!! tafadhal funga domo lako kabla sijawaza cha kukufanya tafazal tafazal!! kaa chonjo kijana

hahahaaaa! Museee inataka kupandisa musuka......yeroooo subhaiii
 
Wewe ya kwako imeishia wapi?

Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...

Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...

Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?

Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???
Naona umeamua kumpa makavu.......mahusiano ya siku hizi ni balaa mtu wamenuniana tu anakuja huku halafu anatuuliza sisi wakati yeye ndo anafahamu sababu za kununiana.
 
Wewe ya kwako imeishia wapi?

Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...

Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...

Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?

Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???

Khaaaa ww mbona una maneno makali hiviii??
 
Wewe ya kwako imeishia wapi?

Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...

Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...

Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?

Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???

kinyama akalele fijo. Ikholonda ukutika umpiki
 
babu eeeeeh! mbona umeniandama ivooo!! tafadhal funga domo lako kabla sijawaza cha kukufanya tafazal tafazal!! kaa chonjo kijana

Hahaha!!

Unatishia kujamba wakati umekamatwa na haro la mtindi....
 
umeisha omba "Yesu" akusaidie, bado ukaongezea na "wallahi". tukueleweje sasa na huku umekimbilia kutafuta nini???? mbona una imani haba kuliko hata punje ya mchanga wa macca!?????
 
heading na contents, utadhani trein na gari moshi???
 
Naona umeamua kumpa makavu.......mahusiano ya siku hizi ni balaa mtu wamenuniana tu anakuja huku halafu anatuuliza sisi wakati yeye ndo anafahamu sababu za kununiana.

ts 4 days now jamn try 2 understand u ppo! anyaway mdomo ni mali yenu na hamlipii vat u just talk talk talk talk talk talk mkimaliza nambien!
 
Kaazi kweli kweli. Tumeishiwa kabisa namna ambavyo tunaweza kutatua majambo.
 
ts 4 days now jamn try 2 understand u ppo! anyaway mdomo ni mali yenu na hamlipii vat u just talk talk talk talk talk talk mkimaliza nambien!

Huyo mwana hakupendi, siku 4 kisa hujapokea simu!? Tena imepigwa usiku.
 
Hahaha!!

Unatishia kujamba wakati umekamatwa na haro la mtindi....

ama kweli mshukuruni mung kwa kila jambo anyway namshukuru mungu kwa watu kama hawa b'se 4 their own way they made my day!
 
heading na contents, utadhani trein na gari moshi???

maskini weee unatia huruma mwehh! kwan trein na gari mosh kuna tofauti? trein ni kidhungu gari moshi ni kiswahili au kisa kiswahil tunaita treni?? eb kasome the devt of lg samhow itakusaidia!
 
Bonjour friends! Natumai mu wazima wa roho mwili pamoja na akili.

Bibie sina mengi zaidi ya kuwauliza ju ya hii kituz iitwayo mahusiano/mapenzi/urafiki wa karibu zaidi n.k.

Wajameni kipi bora endapo mpenzi wako hapatikani online siku nzima au anapatikana lakini ukipiga hapokei simu? Na kwa akili ya kibinadamu utawaza nini juu ya huko kutopatikana/ kutopokea simu?

sio siri mwenzenu tumenuniana na mtu mtu tangu majuzi nashindwa kuelewa kabisaaa. Eyesu nisaidie!

Mapenzi ya kibongo bana eti mtu asipopokea au kutopatikana we unawaza yuko nyumba ndogo anakusaliti yaani unajicomplicate mwenyewe! Wakati kwa mzungu yeye akimpigia simu mpenzi wake akaacha kupokea On the sport anamtumia na mesg ya kumpa pole ni dhahili kwamba yuko bize hataki usumbufu. Ivi kweli mtu kakuaga anaenda kazini alafu asipokee simu we useme unaibiwa
 
wOrM, wahindi wanajichanganya tu au sio, tatizo wabongo wengi wanaleta mapenzi ya ngwala teh teh. Peleka mtoto wa kihindi bustani cheza kuchi kuchi hoti hee....mamoa safi kabisa, yaani kama unasukuma mlevi. Kama mnataka wajichanganye, na nyie chichanganyeni eboo!!

Tena mmenikumbusha, kulikuwa na mwalimu fulani Mwanza alikuwa anaitwa Mwalimu Mbiti, mweusi, (watu wa Mlimani, Bugando/Pamba primary wanaweza kumjua), yeye mbona alioa mhindi?

Kitila Mkumbo nakubaliana na wewe. Kutokana na maelezo ya Hoyce Temu, watu wamemwelewa vibaya. Ila mwanamke mzuri hivyo anabubujika machozi kwenye kadamnasi kwa kitu hiki duuh...thats some messed up passion. Kwa mtihani uliowekwa hapo mbele yao, Richa ana deserve. Ndio maana sielewi warembo wa kibongo wanang'ang'ania kuongea kiingereza cha tuition na kukariri cha nini. Ongea kiswahili tu, weka mkalimani. Hata huko Miss World pelekeni mkalimani. Hata hivyo, ingekuwa kiingereza ni muhimu sana, basi mbona wangemsogeza Miss TZ UK aingie top 5? Maana binti articulate na angewafunika hadi huyo Richa.

Labda muweke vigezo vyote vya kuchagua Miss hapa, halafu ndo tuchambue Richa kafanikisha vipi. Confidence is one of them am sure. Kwa uzuri walikuwepo wazuri zaidi yake, but she had the 'best' package I guess.

Mpgie mtu wake wa karibu uliza km huyo mtu n mzma? Ana cm yake? Maana icjekuwa kaibiwa cm maana wezi wa cku hz wanatabia ya kuiba cm hawabadili laini. So mm nngeenda na hyo approach kwanza..then ndo nngetoa konclusion..
 
Wewe ya kwako imeishia wapi?

Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...

Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...

Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?

Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???

Lakini mkuu huna haja ya kumshambulia kiivyo kama hukua na mchango ungepiga kimya maana kutokuchangia sio dhambi,ni mtazamo tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom