Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
babu eeeeeh! mbona umeniandama ivooo!! tafadhal funga domo lako kabla sijawaza cha kukufanya tafazal tafazal!! kaa chonjo kijana
hahahaaaa! Museee inataka kupandisa musuka......yeroooo subhaiii
babu eeeeeh! mbona umeniandama ivooo!! tafadhal funga domo lako kabla sijawaza cha kukufanya tafazal tafazal!! kaa chonjo kijana
Naona umeamua kumpa makavu.......mahusiano ya siku hizi ni balaa mtu wamenuniana tu anakuja huku halafu anatuuliza sisi wakati yeye ndo anafahamu sababu za kununiana.Wewe ya kwako imeishia wapi?
Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...
Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...
Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?
Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???
Wewe ya kwako imeishia wapi?
Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...
Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...
Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?
Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???
Wewe ya kwako imeishia wapi?
Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...
Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...
Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?
Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???
kinyama akalele fijo. Ikholonda ukutika umpiki
babu eeeeeh! mbona umeniandama ivooo!! tafadhal funga domo lako kabla sijawaza cha kukufanya tafazal tafazal!! kaa chonjo kijana
tehhe he! kwaherini?Hahaha!!
Unatishia kujamba wakati umekamatwa na haro la mtindi....
sikulaumu ndio akili yako ya kufkiria imeishia hapo!
Naona umeamua kumpa makavu.......mahusiano ya siku hizi ni balaa mtu wamenuniana tu anakuja huku halafu anatuuliza sisi wakati yeye ndo anafahamu sababu za kununiana.
ts 4 days now jamn try 2 understand u ppo! anyaway mdomo ni mali yenu na hamlipii vat u just talk talk talk talk talk talk mkimaliza nambien!
heading na contents, utadhani trein na gari moshi???
Bonjour friends! Natumai mu wazima wa roho mwili pamoja na akili.
Bibie sina mengi zaidi ya kuwauliza ju ya hii kituz iitwayo mahusiano/mapenzi/urafiki wa karibu zaidi n.k.
Wajameni kipi bora endapo mpenzi wako hapatikani online siku nzima au anapatikana lakini ukipiga hapokei simu? Na kwa akili ya kibinadamu utawaza nini juu ya huko kutopatikana/ kutopokea simu?
sio siri mwenzenu tumenuniana na mtu mtu tangu majuzi nashindwa kuelewa kabisaaa. Eyesu nisaidie!
wOrM, wahindi wanajichanganya tu au sio, tatizo wabongo wengi wanaleta mapenzi ya ngwala teh teh. Peleka mtoto wa kihindi bustani cheza kuchi kuchi hoti hee....mamoa safi kabisa, yaani kama unasukuma mlevi. Kama mnataka wajichanganye, na nyie chichanganyeni eboo!!
Tena mmenikumbusha, kulikuwa na mwalimu fulani Mwanza alikuwa anaitwa Mwalimu Mbiti, mweusi, (watu wa Mlimani, Bugando/Pamba primary wanaweza kumjua), yeye mbona alioa mhindi?
Kitila Mkumbo nakubaliana na wewe. Kutokana na maelezo ya Hoyce Temu, watu wamemwelewa vibaya. Ila mwanamke mzuri hivyo anabubujika machozi kwenye kadamnasi kwa kitu hiki duuh...thats some messed up passion. Kwa mtihani uliowekwa hapo mbele yao, Richa ana deserve. Ndio maana sielewi warembo wa kibongo wanang'ang'ania kuongea kiingereza cha tuition na kukariri cha nini. Ongea kiswahili tu, weka mkalimani. Hata huko Miss World pelekeni mkalimani. Hata hivyo, ingekuwa kiingereza ni muhimu sana, basi mbona wangemsogeza Miss TZ UK aingie top 5? Maana binti articulate na angewafunika hadi huyo Richa.
Labda muweke vigezo vyote vya kuchagua Miss hapa, halafu ndo tuchambue Richa kafanikisha vipi. Confidence is one of them am sure. Kwa uzuri walikuwepo wazuri zaidi yake, but she had the 'best' package I guess.
Wewe ya kwako imeishia wapi?
Acha kulia lia hapa, tumechoka kushauri watu msiojielewa...
Huyo unayehusiana naye wewe ndio unayemuelewa halafu unakuja kulia lia huku jamvini...
Eboh!! sisi ndio tuliowatongozesha? mbona wakati mawasiliano yenu yalipokuwa imara hukuja hapa kumsifia?
Tumia akili kufikiria, au unadhani sisi unaotuomba kukushauri tunatumia macho kufikiri???