Kipi bora kati ya kwenda jeshini na chuo kikuu kwa mtu aliyesoma science

Unaenda jeshni kwa mujibu wa sheria au unaenda aje,

kwa ni kwa ajili ya kaz nenda huk jeshni kwan hyo kaz utaenda chuo na hata jeshni ukashndwa kupata tena nafasi,
 
Kwasiku JWTZ makao makuu wanapata maombi kutoka kwa wahitimu wa Degree zaidi ya 700 kuomba kujiunga na jeshi
..
 
Kwenda heshini ni bora zaidi. Kwani jeshi letu sasa hv ni la wenye elimu, utaajiriwa na nafasi ya kuendelea na masomo kwa ngazi yoyote ile utapata. Kuna watu wamesomea jeshini na hv sasa wana master zao.
 
Acha ujnga soma kwanza upate CV yako ya ukwel then ndo uende jeshini kama co hvyo utaishia Kuwa private na kuwasimamia makuruta tu na kupata nafasi ya kusoma chuo tena ni probability
 
Kwenda heshini ni bora zaidi. Kwani jeshi letu sasa hv ni la wenye elimu, utaajiriwa na nafasi ya kuendelea na masomo kwa ngazi yoyote ile utapata. Kuna watu wamesomea jeshini na hv sasa wana master zao.

Sasa kwenda na degree yako na form six kipi ni bora
 
Kwenda heshini ni bora zaidi. Kwani jeshi letu sasa hv ni la wenye elimu, utaajiriwa na nafasi ya kuendelea na masomo kwa ngazi yoyote ile utapata. Kuna watu wamesomea jeshini na hv sasa wana master zao.
Mbona nasikia kila siku kuna ma file ya watu wanaoomba kwenda kusoma na inakuwa ngumu kwenda kusoma
 
degree haipikwi jikoni. nenda kamata ajira yako utasoma taratibu hali ya kuwa cheti chako cha form six kipo
 
degree haipikwi jikoni. nenda kamata ajira yako utasoma taratibu hali ya kuwa cheti chako cha form six kipo
Asante MKuu lakini mbona wazazi wanasema elimu yangu haitoshi kwa hiyo degree kwanza then jeshi lipo tu muda ukifika niende kama nikitaka
 
Inategemeana na kozi uliosoma na uwezo wa nyumbanii jeshi linatafutwa ndugu skuizi na hasa wasomi huwa wanaliskia kwenye bomba
 
kitu cha muhimu nenda chuo kasome upate taaluma yako ndio uende jeshini vinginevyo,hata kama utapata nafasi ya kwenda kusoma ukiwa jeshini ni kwa mda mrefu na pia jeshi linasomesha watu kutokana na demands, huwezi ukalazimisha kusoma,na kama litakua na uhitaji wa mtu mwenye taaluma fulani ndio watampeleka akasome.Nenda ukiwa na taaluma yako itakua rahisi kwako.

Asante MKuu kwa ushauri wako mzuri
 
Mbona nasikia kila siku kuna ma file ya watu wanaoomba kwenda kusoma na inakuwa ngumu kwenda kusoma

Yan kila sehemu wa2 wanafanya vitu Kwa kujuana2, kama hakujui m2 unaweza Kaa hata miaka 7 haujaenda kusoma wala nn
 
Back
Top Bottom